Oganaizesheni ya mafunzo CHADEMA

Oganaizesheni ya mafunzo CHADEMA

Shomari

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2008
Posts
1,112
Reaction score
242
CHADEMA wana oganaizesheni ya mafunzo ambayo mkurugenzi wake ni Benson Kigaila. nachotaka kujua je haya ni mafunzo ya darasani ama mafunzo ya namna gani hasa?. ni hilo tu linaloniumiza kichwa. wanachadema naomba mnifahamishe.

Asanteni .
 
nadhani umekosea kuuliza, ulipaswa kuuliza mada ni nini si swala la mahali pa kusomea,ambapo inaweza ikawa hata chini. ya miti.
 
nadhani umekosea kuuliza, ulipaswa kuuliza mada ni nini si swala la mahali pa kusomea,ambapo inaweza ikawa hata chini. ya miti.

nimekosea nini?. hebu soma tena kwa makini
 
Mkuu Tumaini Makene kuna mwananchi anaomba ufafanuzi huku; tafadhali msaidieni. Najua yote yanapatikana ndani ya katiba ya chama ila kwa faida ya wengi humu tunaomba kaufafanuzi.
 
Last edited by a moderator:
nadhani umekosea kuuliza, ulipaswa kuuliza mada ni nini si swala la mahali pa kusomea,ambapo inaweza ikawa hata chini. ya miti.

Kwanini usimjibu alichouliza halafu ukaongeza ni hicho unachotaka ajue? Be logic
 
gombea nafasi yoyote ya uongozi kupitia chadema, watakuja kukupa mafunzo, uive, uwe kamanda, lakini kama wewe ni ccm basi hilo ni somo zito huwezi kulielewa
 
nadhani umekosea kuuliza, ulipaswa kuuliza mada ni nini si swala la mahali pa kusomea,ambapo inaweza ikawa hata chini. ya miti.

una uhakika kuwa umemuelewa mleta thread au umejisikia tu nawe kuchangia.?
 
gombea nafasi yoyote ya uongozi kupitia chadema, watakuja kukupa mafunzo, uive, uwe kamanda, lakini kama wewe ni ccm basi hilo ni somo zito huwezi kulielewa

nitaufikiria ushauri wako. asante
 
CHADEMA wana oganaizesheni ya mafunzo ambayo mkurugenzi wake ni Benson Kigaila. nachotaka kujua je haya ni mafunzo ya darasani ama mafunzo ya namna gani hasa?. ni hilo tu linaloniumiza kichwa. wanachadema naomba mnifahamishe.

Asanteni .


Ofisi za Chadema si wajua ziko wapi ? Nenda kule kaulize na Benson utamkuta hapa si kwa Chadema kaka
 
Ofisi za Chadema si wajua ziko wapi ? Nenda kule kaulize na Benson utamkuta hapa si kwa Chadema kaka

Unaishi dunia ya ngapi wewe?!!. siku hizi sio lazima kila kitu uende ofisini. kama haujui kuhusu hayo mafunzo nyamaza. unasema hapa sio kwa Chadema, ina maana haujui kwamba humu ndani kuna wanachama na viongozi wa ngazi ya juu wa CHADEMA? halafu unajiita Senior Expert member!! Bure kabisa.
 
yani hadi sasa hakuna hata mchadema mmoja aliyempa mtoa mada jibu la maana....yani nyie mmekaa kukosoa kosoa..sasa kitu gani mtaweza kukijibu straight?? kama hili dogo tu mnalishindwa!!
 
ni oganaizesheni na mafunzo ya kuvunja ndoa za watu kama anavyofanya kigaila.
 
yani hadi sasa hakuna hata mchadema mmoja aliyempa mtoa mada jibu la maana....yani nyie mmekaa kukosoa kosoa..sasa kitu gani mtaweza kukijibu straight?? kama hili dogo tu mnalishindwa!!
mkuu wewe unahangaika na haya mavuvuzela? hayajui chochote zaidi ya kuchonga tu humu na kutetea vitu yasivyovijua. ukiyaona utafikiri yana vichwa kumbe ni vifuu vya nazi juu ya shingo zao.
 
ni oganaizesheni na mafunzo ya kuvunja ndoa za watu kama anavyofanya kigaila.



mkuu hukuzingatia protocal, huwa tunaanza na mkubwa kisha ndo mdogo anafuata. na kama ni mmoja basi anabaki huyo mkubwa tu. ulitakiwa uanze na secretary. usirudie tena siku ingine kufanya kosa hili.
 
CHADEMA wana oganaizesheni ya mafunzo ambayo mkurugenzi wake ni Benson Kigaila. nachotaka kujua je haya ni mafunzo ya darasani ama mafunzo ya namna gani hasa?. ni hilo tu linaloniumiza kichwa. wanachadema naomba mnifahamishe.

Asanteni .

Tutakujibu baada kujibu maswali haya, 1. Wewe ni nani? Mwanachadema, mwanaccm, mwanaPM7 au raia asiye na upande? 2. Lengo lako ni nini? Kuisaidia Chadema, kuiundia tuhuma za uongo na kuihujumu? 3. Ukishaelewa nani atanufaika? Wewe binafsi, Chadema, ccm au Watanzania na kivipi? bila kuturidhisha hapa hatuna sababu ya kukupa majibu ya maana.
 
Back
Top Bottom