Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,801
- 71,226
@Sky Eclat usitukumbushe machungu ya nyumba zetu!View attachment 1229340
Pamoja na kuwa Mwalimu alileta Wakurya na Wazanaki wakaishi Oyterbay baada ya wazungu kuondoka na kuanza kufuga ng’ombe lakini walipostaafu waliziacha.