Kaji shushua mwenyeweBrother hapa unaanika nguo kavu tu.
Kaji shushua mwenyeweBrother hapa unaanika nguo kavu tu.
Unao uhakika kuwa Mwalimu Nyerere hakuwahi kupiga hata mara moja?. Na hizo nyumba alizihonga yeye kama yeye au yeye kma sehemu ya baraza la mawaziri. Hujawahi kuja kutuambia za kina Mkapa na Sumaye walizifanyia nini.Message sent tayari
Tatizo ni kwamba mtu ukiongelea uadilifu wa mwalimu lazima Jiwe atadhani unamsema yeye, maana mwalimu alijenga nyumba za serikali jiwe akahonga kwa mchepuko,
Sasa ktk mazingira haya ukiusema uadilifu wa mwalimu jiwe lazima ajistukie kwa kudhani kwamba unampiga madongo yeye!
Mkuu mbona unateseka? Hili siyo jukwaa la CHADEMA na CCM, wapo wasiofungamana na upande wowoteChadema hamna akili ,zero brain kabisa kila kitu ni kudandia na kubadilisha maana
Dhambi ya UOGA sijui kama itatuacha salama. Tuombee Taifa letu amani.Nimaajabu viongozi kujigeuza miungu watu wao ndo watuseme tukiwasema wao nongwa kikwete yeye kaufikisha Ujumbe Kama ulivyo wenye kujimwambafai Hofu tele sijui nini wanahohfu
Huu msemo hata siyo wa Jakaya, na yeye aliotoa ktk vitabu vya zamani - Hadithi za Essopo.Za kuambiwa changanya na zako uzuri hili alituachia Jakaya mwenyewe
Watu wamechanganya na zao sasa analia lia nini?
Zamani kwenye mtihani tulikuwa tunaletewa kipengele cha hadithi.Hajakanusha, hajafuta maneno yake. Amesema hiyo tafsiri mnayoitaka nyinyi siyo aliyomaanisha.
Anataka kusema nini? Kwamba anakanusha kuwa hakusema hivyo ila alirekodiwa vibaya au?
Bado nasisitiza kwa kusema kuwa ' Limewashukeni ' na Mkwere kawaonyesha jinsi alivyowachoteni na kuwamwageni mazima.
Kwani ukiwa dhaifu au fisadi ndiyo huwezi kusema ukweli kuhusu unavyomjua Nyerere??Mbona mlikuwa mnamwita dhaifu,fisadi na vasco da gamaa ? Amebadilika lini
Kikwete ana akili sana ! kuna kitu fulani hujakigunduausicheze na ngosha kabisa alishasema ajaribiwi sasa mzee wa kiswahili na kiherehere chake limempata la kulipata.
Ofisi ya Rais Mstaafu, Jakaya Kikwete imeeleza masikitiko yake kuhusu upotoshaji unaofanywa na baadhi ya watu kuhusu hotuba aliyoitoa Kikwete kwenye Kongamano la Kumbukizi ya Miaka 20 ya kifo cha Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere
Imesema kuwa mada ya Kongamano hilo ilikuwa ‘Urithi wa Mwalimu Nyerere katika Uongozi, Maadili, Umoja na Amani katika Ujenzi wa Taifa’ na Rais Mstaafu alieleza kwa namna alivyomfahamu Mwalimu Nyerere kulingana na mada hiyo
Ofisi hiyo imesema Rais Mstaafu Kikwete ameshangazwa na kusikitishwa kwa kujitokeza watu wanaopotosha ukweli kuhusu maneno yake na kuwepo wanaojaribu kumuwekea maneno wakidai eti alikuwa anawasema baadhi ya viongozi waliopo sasa
Aidha, ofisi imeeleza kuwa hakufanya ulinganifu kati ya Mwalimu na Marais walifuata baada yake, waliostaafu na waliopo sasa pia hakutaja jina la mtu yeyote, hivyo kusikia kuwa Rais Mstaafu alisema mtu ni jambo linalosikitisha ni uzandiki, fitna na Uchonganishi
Mwisho, Rais Mstaafu Kikwete amesema alitegemea watu wamkosoe kwa aliyoyasema na si kumsingizia na pia amewataka watu wenye maoni yao wawe wajasiri na kuyasema na sio kujificha katika kivuli cha hotuba yake
View attachment 1229421
Unao uhakika kuwa Mwalimu Nyerere hakuwahi kupiga hata mara moja?. Na hizo nyumba alizihonga yeye kama yeye au yeye kma sehemu ya baraza la mawaziri. Hujawahi kuja kutuambia za kina Mkapa na Sumaye walizifanyia nini.
Huyu tunaye mpaka 2025, tuombe uhai.
Kwa namna Magu alivyokuwa akisema katika hotuba yake huko Mpanda jana ni dhahiri kuna kitu kilimgusa kutokana na hotuba ya Mkwere!Mbona juzi na jana hizi Kauli hamkuzitoa na mnazitoa leo baada ya Mkwere Kuwashushueni?
Kwa namna Magu alivyokuwa akisema katika hotuba yake huko Mpanda jana ni dhahiri kuna kitu kilimgusa kutokana na hotuba ya Mkwere!
Ndiyo Jk kaamanisha alichosema sasa mnataka kuamua nini,naona watu dhamira zinawasuta mchanganye na zenu kashasemaZa kuambiwa changanya na zako uzuri hili alituachia Jakaya mwenyewe
Watu wamechanganya na zao sasa analia lia nini?