mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,663
- 18,037
Kwani haujui? na keshamjibu naye bila kutaja jina!!! Hii nchi tamu sana na inaonyesha watu wanavyoheshimiana maana kutajana majina hakufai! Cha maana ujumbe ufike!!Anaogopa nn na yy?
Kwani haujui? na keshamjibu naye bila kutaja jina!!! Hii nchi tamu sana na inaonyesha watu wanavyoheshimiana maana kutajana majina hakufai! Cha maana ujumbe ufike!!Anaogopa nn na yy?
Hivi kumbe rais mstaafu bado ana ofisi ya serikali. Sijui iko wapi hii ofisi.Pia ina maana hapa anayeongea siyo raisi mstaafu ila ni ofis ya rais mstaafu.Ofisi ya Rais Mstaafu, Jakaya Kikwete imeeleza masikitiko yake kuhusu upotoshaji unaofanywa na baadhi ya watu kuhusu hotuba aliyoitoa Kikwete kwenye Kongamano la Kumbukizi ya Miaka 20 ya kifo cha Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere
Imesema kuwa mada ya Kongamano hilo ilikuwa ‘Urithi wa Mwalimu Nyerere katika Uongozi, Maadili, Umoja na Amani katika Ujenzi wa Taifa’ na Rais Mstaafu alieleza kwa namna alivyomfahamu Mwalimu Nyerere kulingana na mada hiyo
Ofisi hiyo imesema Rais Mstaafu Kikwete ameshangazwa na kusikitishwa kwa kujitokeza watu wanaopotosha ukweli kuhusu maneno yake na kuwepo wanaojaribu kumuwekea maneno wakidai eti alikuwa anawasema baadhi ya viongozi waliopo sasa
Aidha, ofisi imeeleza kuwa hakufanya ulinganifu kati ya Mwalimu na Marais walifuata baada yake, waliostaafu na waliopo sasa pia hakutaja jina la mtu yeyote, hivyo kusikia kuwa Rais Mstaafu alisema mtu ni jambo linalosikitisha ni uzandiki, fitna na Uchonganishi
Mwisho, Rais Mstaafu Kikwete amesema alitegemea watu wamkosoe kwa aliyoyasema na si kumsingizia na pia amewataka watu wenye maoni yao wawe wajasiri na kuyasema na sio kujificha katika kivuli cha hotuba yake
View attachment 1229421
umeona wabongo waliokuwa wakipotosha jamii, jinga kabisaOfisi ya Rais Mstaafu, Jakaya Kikwete imeeleza masikitiko yake kuhusu upotoshaji unaofanywa na baadhi ya watu kuhusu hotuba aliyoitoa Kikwete kwenye Kongamano la Kumbukizi ya Miaka 20 ya kifo cha Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere
Imesema kuwa mada ya Kongamano hilo ilikuwa ‘Urithi wa Mwalimu Nyerere katika Uongozi, Maadili, Umoja na Amani katika Ujenzi wa Taifa’ na Rais Mstaafu alieleza kwa namna alivyomfahamu Mwalimu Nyerere kulingana na mada hiyo
Ofisi hiyo imesema Rais Mstaafu Kikwete ameshangazwa na kusikitishwa kwa kujitokeza watu wanaopotosha ukweli kuhusu maneno yake na kuwepo wanaojaribu kumuwekea maneno wakidai eti alikuwa anawasema baadhi ya viongozi waliopo sasa
Aidha, ofisi imeeleza kuwa hakufanya ulinganifu kati ya Mwalimu na Marais walifuata baada yake, waliostaafu na waliopo sasa pia hakutaja jina la mtu yeyote, hivyo kusikia kuwa Rais Mstaafu alisema mtu ni jambo linalosikitisha ni uzandiki, fitna na Uchonganishi
Mwisho, Rais Mstaafu Kikwete amesema alitegemea watu wamkosoe kwa aliyoyasema na si kumsingizia na pia amewataka watu wenye maoni yao wawe wajasiri na kuyasema na sio kujificha katika kivuli cha hotuba yake
View attachment 1229421
Mm, mkuu kuna watu wasiojulikanaZa kuambiwa changanya na zako uzuri hili alituachia Jakaya mwenyewe
Watu wamechanganya na zao sasa analia lia nini?
Jibu langu litategemeana na mategemeo na tafsiri yangu ya hali ya kisiasa hapa nchini. Hakuna jibu la moja kwa moja, ndo maana ofisi yake ikatolea ufafanuzi wa alichomaanisha.Sawa kabisa. Ukipata unawekewa tick, lkn ukimkosesha wakati hadthi inajieleza mwanafunzi atahoji uhalali wa kosa lake. Kwa mfano unaulizwa ' Kwann Mh alitumia neno " kujimwambafy kwa watu wenye mamlaka ya nchi sio kitu kizuri" Utajibuje?
Unaona ulivyo mpuuzi? Sina muda na wapuuzi.Unaposema ni usafi upi una maana kuwa unajua aina ya usafi!
Katika aina hizo za usafi unazozijua, ni usafi upi ambao Mwl. Nyerere alikuwa nao?
Chadema imetoa tamko la hiyo kauli?akili zako za kuku nakuhurumia sanaCHADEMA mmefeli siasa, mnabaki kurukia maneno na kuyatafsiri mnavyojua nyie
MZEE JK SISI WAUNGWANA TUNACHUKUA MAKUSUDIO YAKO KAMA ABAVYO AMETUFAFANULIA. ACTUALLY TULIFAHAMU HATA KABLA HUJAFAFANUA KUWA HUKUWA NA LENGO BAYA.Ofisi ya Rais Mstaafu, Jakaya Kikwete imeeleza masikitiko yake kuhusu upotoshaji unaofanywa na baadhi ya watu kuhusu hotuba aliyoitoa Kikwete kwenye Kongamano la Kumbukizi ya Miaka 20 ya kifo cha Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere
Imesema kuwa mada ya Kongamano hilo ilikuwa ‘Urithi wa Mwalimu Nyerere katika Uongozi, Maadili, Umoja na Amani katika Ujenzi wa Taifa’ na Rais Mstaafu alieleza kwa namna alivyomfahamu Mwalimu Nyerere kulingana na mada hiyo
Ofisi hiyo imesema Rais Mstaafu Kikwete ameshangazwa na kusikitishwa kwa kujitokeza watu wanaopotosha ukweli kuhusu maneno yake na kuwepo wanaojaribu kumuwekea maneno wakidai eti alikuwa anawasema baadhi ya viongozi waliopo sasa
Aidha, ofisi imeeleza kuwa hakufanya ulinganifu kati ya Mwalimu na Marais walifuata baada yake, waliostaafu na waliopo sasa pia hakutaja jina la mtu yeyote, hivyo kusikia kuwa Rais Mstaafu alisema mtu ni jambo linalosikitisha ni uzandiki, fitna na Uchonganishi
Mwisho, Rais Mstaafu Kikwete amesema alitegemea watu wamkosoe kwa aliyoyasema na si kumsingizia na pia amewataka watu wenye maoni yao wawe wajasiri na kuyasema na sio kujificha katika kivuli cha hotuba yake
View attachment 1229421
Pia soma
Mzee Jakaya Kikwete awaasa viongozi kuwa kujishusha hakukufanyi usiwe kiongozi. Kujimwambafai hakukufanyi uwe kiongozi zaidi
Rais mstaafu Kikwete amesema mwalimu Nyerere alikuwa ni mtu mwenye uwezo mkubwa kiakili na kimaarifa aliweza kuwazidi wajumbe 300 wa NEC ya CCM. Pamoja na yote hayo Nyerere alikuwa ni msikivu sana ndio maana alishawishi mfumo wa vyama vingi uanze japo 80% ya watanzania waliukataa. Mwalimu...www.jamiiforums.com