Ofisi ya msajiri wa NGOs bado haiendani na spidi ya awamu ya tano ya Magufuli

kasulavenance

JF-Expert Member
Jan 23, 2020
759
905
Ofisi ya Msajiri wa NGOs Makao makuu Dodoma kufuatana na Janga la Corona na vilevile kurahisisha kupatikana kwa huduma zao kwa urahisi wameanzisha mfumo wa kwa kusajiri NGOS kwa mtandao yaani E-REGISTRATION.

Unatakiwa utume documents zako zote kwa mtandao na kama kutakuwa marekebusho yatafanyika kupitia mfumo wao.Kitu cha ajabu na kusikitisha ni kwamba email address waliyotoa kwa mawasiliano hazifanyi kazi, simu hazipokelewi na hazijibiwi.

Mawasiliano yao yote waliyoweka kwenye Tovuti yao ya WWW.NIS-JAMII.GO.TZ hayajibiwi, simu hazipokelewi na email zote hazifanyi kazi. Hii ni Aibu au mnataka mpaka Mkuu wa Nchi mpaka na hili awakumbushe!Fanyeni kazi zenu
 
Mkuu aliye juu usimngoje chini. Waibukie huko huko Dom.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nyie ndio mnasababisha hii nchi isiendelee. Mbona Brela wanaosajiri makampuni ya mabilion unasajiri kila kitu online na unapewa cheti chako online

Ofisi ya msajiri wa NGO Kuna ukiritimba mwingi pale UDOM. Wanafanya kazi kwa rushwa na kujisikia Sana. Mimi siku moja kidogo niwaendee TAKUKURU
 
Nyie ndio mnasababisha hii nchi isiendelee. Mbona Brela wanaosajiri makampuni ya mabilion unasajiri kila kitu online na unapewa cheti chako online.


Ofisi ya msajiri wa NGO Kuna ukiritimba mwingi pale udom. Wanafanya kazi kwa rushwa na kujisikia Sana. Mimi siku moja kidogo niwaendee takukuru.
Niliwahi kupata tabu sana kusajili NGO Dom mpaka nikaamua mm na wafadhili tuipotezee
 
Niliwahi kupata tabu sana kusajili NGO Dom mpaka nikaamua mm na wafadhili tuipotezee
vipi hao wafadhili bado wapo ?

Nina NGO yangu Kama tunaweza kufanya kazi sote kwa wafadhili wako Niko tayari . Maana Kuna sehemu Kuna mradi wanataka kutupa ila wanahitaji tuwe tumefanya kazi kadhaa.

Nimekuchek pm umefunga
 
Lov
vipi hao wafadhili bado wapo ?

Nina NGO yangu Kama tunaweza kufanya kazi sote kwa wafadhili wako Niko tayari . Maana Kuna sehemu Kuna mradi wanataka kutupa ila wanahitaji tuwe tumefanya kazi kadhaa.

Nimekuchek pm umefunga
ly
 
vipi hao wafadhili bado wapo ?

Nina NGO yangu Kama tunaweza kufanya kazi sote kwa wafadhili wako Niko tayari . Maana Kuna sehemu Kuna mradi wanataka kutupa ila wanahitaji tuwe tumefanya kazi kadhaa.

Nimekuchek pm umefunga
Nakucheki...
 
Ofisi ya Msajiri wa NGOs Makao makuu Dodoma kufuatana na Janga la Corona na vilevile kurahisisha kupatikana kwa huduma zao kwa urahisi wameanzisha mfumo wa kwa kusajiri NGOS kwa mtandao yaani E-REGISTRATION.

Unatakiwa utume documents zako zote kwa mtandao na kama kutakuwa marekebusho yatafanyika kupitia mfumo wao.Kitu cha ajabu na kusikitisha ni kwamba email address waliyotoa kwa mawasiliano hazifanyi kazi, simu hazipokelewi na hazijibiwi.

Mawasiliano yao yote waliyoweka kwenye Tovuti yao ya WWW.NIS-JAMII.GO.TZ hayajibiwi, simu hazipokelewi na email zote hazifanyi kazi. Hii ni Aibu au mnataka mpaka Mkuu wa Nchi mpaka na hili awakumbushe!Fanyeni kazi zenu
Nadhani bado ni hatua nzuri wamepiga nilikuwa nawaza kwenda Dom kufatilia usajili wa NGO lakini atleast naweza fanikisha hilo online in the near future.
 
Mkuu ni changamoto zipi hasa ulipitia? Ebu tupe mbili tatu kidogo.
Niliambiwa mpaka kikao chao cha ndani kikae kijadili NGO yetu kabla ya kupewa usajili nimekanyaga mara tatu nikitokea Dar nazungushwa tu,nikiwapigia simu response mbovu.....
mara naambiwa huyu hayupo mara yule nikaachana nao na katiba yetu nimewaachia mpaka leo
 
Niliambiwa mpaka kikao chao cha ndani kikae kijadili NGO yetu kabla ya kupewa usajili nimekanyaga mara tatu nikitokea Dar nazungushwa tu,nikiwapigia simu response mbovu.....
mara naambiwa huyu hayupo mara yule nikaachana nao na katiba yetu nimewaachia mpaka leo
I see, that was so weird, kwamba ndio utaratibu unavyokuwa hivyo (mambo ya kukaa kujadili NGO) ???, kwa taarifa hiyo napata mpaka uzito hata kuendelea na hatua zinazofuata kwa sasa, au labda hiyo NGO yenu ilikuwa ya mambo sensitive kidogo mkuu??? Siamini kama NGO zote au watu wote huwa wanazungushwa hivyo.
 
I see, that was so weird, kwamba ndio utaratibu unavyokuwa hivyo (mambo ya kukaa kujadili NGO) ???, kwa taarifa hiyo napata mpaka uzito hata kuendelea na hatua zinazofuata kwa sasa, au labda hiyo NGO yenu ilikuwa ya mambo sensitive kidogo mkuu??? Siamini kama NGO zote au watu wote huwa wanazungushwa hivyo.
Hadi uhonge
 
I see, that was so weird, kwamba ndio utaratibu unavyokuwa hivyo (mambo ya kukaa kujadili NGO) ???, kwa taarifa hiyo napata mpaka uzito hata kuendelea na hatua zinazofuata kwa sasa, au labda hiyo NGO yenu ilikuwa ya mambo sensitive kidogo mkuu??? Siamini kama NGO zote au watu wote huwa wanazungushwa hivyo.
Alikutana na wababaishaji. Na labda alikuwa hajakamilisha documents ...


Inabidi uende wizarani na

1. Katiba ya NGO
2. Cv za founders (Not less than 5 members )
3. Muhtasari wa kuanzisha NGO
4. TRA stamp
5. Barua ya utambulisho kutoka mkoani kwako (Barua hutolewa na ofisi ya Maendeleo ya Jamii mkoa )


Ukiwa na hizo documents cheti unaweza kupewa siku hiyo hiyo.
 
Nyie ndio mnasababisha hii nchi isiendelee. Mbona Brela wanaosajiri makampuni ya mabilion unasajiri kila kitu online na unapewa cheti chako online

Ofisi ya msajiri wa NGO Kuna ukiritimba mwingi pale UDOM. Wanafanya kazi kwa rushwa na kujisikia Sana. Mimi siku moja kidogo niwaendee TAKUKURU
Hapo ndipo unapokosea kufananisha kifo na usingizi. Serikali kuu unafananisha na agency? Agency wanafanya kazi kama private sector na hata mishahara yao ni far away than huyo msajili wa NGO.

Ila usiwaze subiri utahudumiwa.
 
I see, that was so weird, kwamba ndio utaratibu unavyokuwa hivyo (mambo ya kukaa kujadili NGO) ???, kwa taarifa hiyo napata mpaka uzito hata kuendelea na hatua zinazofuata kwa sasa, au labda hiyo NGO yenu ilikuwa ya mambo sensitive kidogo mkuu??? Siamini kama NGO zote au watu wote huwa wanazungushwa hivyo.
Sisi tumekamilisha kila kitu kinachohitajika ila kuna mwanamama mmoja anapenda rushwa balaa amekalia cheti hataki kutupatia...
 
Hapo ndipo unapokosea kufananisha kifo na usingizi. Serikali kuu unafananisha na agency? Agency wanafanya kazi kama private sector na hata mishahara yao ni far away than huyo msajili wa NGO.

Ila usiwaze subiri utahudumiwa.
Huna unalojua wewe kaa kimya
 
Alikutana na wababaishaji. Na labda alikuwa hajakamilisha documents ...


Inabidi uende wizarani na

1. Katiba ya NGO
2. Cv za founders (Not less than 5 members )
3. Muhtasari wa kuanzisha NGO
4. TRA stamp
5. Barua ya utambulisho kutoka mkoani kwako (Barua hutolewa na ofisi ya Maendeleo ya Jamii mkoa )


Ukiwa na hizo documents cheti unaweza kupewa siku hiyo hiyo.

Shukrani kwa taarifa mkuu, nitakwenda kujaribu bahati yangu.
 
Back
Top Bottom