Mchaga 25
JF-Expert Member
- Oct 29, 2011
- 464
- 114
Speaking to the Daily Graphic in London, Ms. Helen Bower, a spokesperson at the Number 10 Downing Street Press Office, said the UK Government is at the forefront of work to promote human rights around the world, and regularly criticizes governments which violate those rights. Reacting to media reports in Ghana in respect of United Kingdoms financial aid to the Third World and respect for human rights
Gonga Hapa David Cameron's Office Clarifies Statements On Gay Rights | Politics | Peacefmonline.com
Haya sasa ufe na njaa au utoe suna kazi ipo.
MY TAKE:
Hawa jamaa wametuona sisi ni mabwabwa kisa kuwategemewa wao katika kila kitu, hili ni tusi ambalo ni sawa na mdowezi akiambia kila siku unakula kwangu sasa uolewe.
Tanzania tujipange katika kuimarisha uchumi wetu wa ndani vinginevyo tutatukanwa sana, Tukumbuke structural adjstument program 1980's Nyerere aling'atuka kuepuka fedheha Mwinyi akasema ruksa kwani hakuwa na kitu. Je ulaya wakaungana na marekani kuhamasisha hili je Kikwete uko Tayari kusimamamia utamaduni wa Taifa???
Nashawishika kutaka kumsikia Rais akilisema hili Mwenyewe sio Membe ambaye wote tunamjua kigeugeu.
Hakika mkuu wa kaya umetegwa pabaya.
Gonga Hapa David Cameron's Office Clarifies Statements On Gay Rights | Politics | Peacefmonline.com
Haya sasa ufe na njaa au utoe suna kazi ipo.
MY TAKE:
Hawa jamaa wametuona sisi ni mabwabwa kisa kuwategemewa wao katika kila kitu, hili ni tusi ambalo ni sawa na mdowezi akiambia kila siku unakula kwangu sasa uolewe.
Tanzania tujipange katika kuimarisha uchumi wetu wa ndani vinginevyo tutatukanwa sana, Tukumbuke structural adjstument program 1980's Nyerere aling'atuka kuepuka fedheha Mwinyi akasema ruksa kwani hakuwa na kitu. Je ulaya wakaungana na marekani kuhamasisha hili je Kikwete uko Tayari kusimamamia utamaduni wa Taifa???
Nashawishika kutaka kumsikia Rais akilisema hili Mwenyewe sio Membe ambaye wote tunamjua kigeugeu.
Hakika mkuu wa kaya umetegwa pabaya.