Ahmad Abdurahman
JF-Expert Member
- Mar 5, 2016
- 3,248
- 6,264
Ban chadema and the nation will be in peace.
Mwaka jana stoo yangu iliuungua mashine pamoja na mizigo ninaanza ikidaiwa chanzo umeme ninaanza kuwa na wasiwasi huenda ikawa ni siasaMmeanza tena zile ishu zenu za kutengeneza matukio ili kutafuta huruma za wananchi? Sijui mtakua lini nyie jamaa, zama za ujinga ujinga za JK zilishapita kitambo, now watu wanachapakazi tu..
Mshana Jr mm naishi hapa karibu ila kuna mambo hayako sawa tunduma itoshe Tu kusema kuna wanachama either ccm au chadema ni waharifu wana siasa za chuki sana mpaka tulipofika hapa tuna mengi yaliyotokeaMungu ibariki CHADEMA... Kukichwa kutapambazuka.. Lakini kabla jua kuchomoza kiza huwa kinene
Unyama wa Polisi kwa Chadema ndio chanzo cha Uhasama , nakuhakikishia kwamba visasi vya tunduma havitokuja kwishaMshana Jr mm naishi hapa karibu ila kuna mambo hayako sawa tunduma itoshe Tu kusema kuna wanachama either ccm au chadema ni waharifu wana siasa za chuki sana mpaka tulipofika hapa tuna mengi yaliyotokea
Mungu gani?Jambo hili la kusikitisha limefanyika usiku wa kuamkia leo, ambapo watu wasiofahamika wamelipua ofisi hiyo na kisha kutokomea kusikofahamika, nyaraka kadhaa za Chama hicho zimeteketea na nyingine zenye thamani kubwa zimeibwa.
Ikumbukwe pia kwamba Viongozi wa Chadema zaidi ya 50 wa Tunduma wamerudikwa rumande kwa zaidi ya mwaka kutokana na visasi vya kisiasa.
Mungu ibariki Chadema
Kwa sababu gani sasa!?? hao wamekula hela za chama wameamua kupoteza ushahidiCCM hii ni sawa na Bokoharam tu.
Siyo Mungu JiweMungu gani?