Jimbi
JF-Expert Member
- Aug 16, 2010
- 3,951
- 4,264
KATIBA MPYA ndio pekee itakayopunguza UHUNI wa CCM na pengine kuwafurusha kabisa nje ya madaraka, uzuri wanalijua hilo ndio sababu ya hizi SARAKASI..hapo utaambiwa upepelezi unaendelea miaka 5, then business as usual. ni kweli kwa sasa uonevu umepita kipimo.