Wewe unajua nn sasa????? Naweza kuwa mbumbu kweli lakini nina akili zangu za muweza kujua kwamba ccm iliiba kura hapo 2020!we mbumbumbu tulia hujui kitu kuhusu siasa za tz, unaendeshwa na mihemko tu.
Jeshi la polisi lingeundwa na watu wenye division one na two lingekuwa zuri Sana. Lkn Kama mlivyomsikia kiongozi wao amesema linaundwa na wenye division ... point 32.
by the way he is goneLaana ya kushangilia kifo cha Magufuli itawafuna sana.
Na bado makubwa zaidi yanakuja
Jibu hayo maswali niliyoyauliza sio kuleta porojo.Hivi kuna mjinga yoyote wa wewe kumdanganya hapa jf ?
Kile kipindi cha kutengeneza matukio kimepita,CCM wanapambana na 1.3 trilion kujenga nchi na nyinyi mnajichomea ofisi zenu ili kuuhadaa ulimwengu!Ungeendelea kutupa takwimu mbalimbali za vitu anavyoketa Rais.Usisahau idadi ya kondom zitakazogawiwa.
Jitahidi utumia huto tu-akili tuchache ulitobakiwa.
Siasa za mioto ni jadi yenu Chadema!we mbumbumbu tulia hujui kitu kuhusu siasa za tz, unaendeshwa na mihemko tu.
mkuu nitake radhi, usiniunganishe na hao magaidi wanaochoma ofisi zao wenyewe.Siasa za mioto ni jadi yenu Chadema!
Tena huko kusini ndio mmebobea
Tuliza tundu lako kubwa aisee.Labda ni magufuli kawatuma,
Si ndo mlikuwa mnamsingizia wakati mnachoma wenyewe.
Pole sana mkuuLaana ya kufurahia kifo cha Magufuli na kumzushia dikteta itawatafuna wanafiki na wazushi nyie
Baada ya muda watakwambia ' inavyooneka wamechoma wenyewe'Polisi huwa hawajishughulishi na mambo ya Chadema
Kama wewe hukufurahia kifo cha dhalimu na udhalimu, nadhani wewe ndie umelaaniwa.Laana ya kufurahia kifo cha Magufuli na kumzushia dikteta itawatafuna wanafiki na wazushi nyie
Police na ccm ndiyo wamechoma
Hivi mmesha kaukiwa hoja mapema namna hii?mkuu nitake radhi, usiniunganishe na hao magaidi wanaochoma ofisi zao wenyewe.
Tunafahamu na ndio maana hatuhangaiki naoBaada ya muda watakwambia ' inavyooneka wamechoma wenyewe'
Kwani unatafakari mambo kwa kutumia visigino?Kile kipindi cha kutengeneza matukio kimepita,CCM wanapambana na 1.3 trilion kujenga nchi na nyinyi mnajichomea ofisi zenu ili kuuhadaa ulimwengu!
Shame on Chagga Development Manifesto.
Chadema
Yaani msikule mkachome ofisi halafu mseme laana?Laana ni imani za kishirikina,hakuna kitu kama hicho!Laana ya kushangilia kifo cha Magufuli itawafuna sana.
Na bado makubwa zaidi yanakuja
Mnajidanganya kuwa mnaififisha chadema kumbe ndio nazidi kuipaisha. Washaurini viongozi wenu waachane kupambana na chama ambacho kila siku mnaimba kuwa kimejifia chenyewe.Labda ni magufuli kawatuma,
Si ndo mlikuwa mnamsingizia wakati mnachoma wenyewe.