Ofisi usipoipenda, unafanyaje?

Punguza kudeka hapo sio nyumbani ni ofisini..
Last born katika ubora wako.
 
Wewe inaelekea ua akili MLEMBA!!
 
Kama na wewe unalipwa mshahara kula unachotaka. Unataja mshahara wake akulishe na wewe then wewe ujengee kama vp agiza matofali ule
 
Kaka punguza uroho mtu anakula chake umeanza kuchukia na offc dah
kaka
 
Dah unapitia mapito magumu sanaaaaaa!!
Msimulie b mkubwa wako usikie atakushauri vipi au la piga chini kazi
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…