Ofisa Mipango Chamwino ajiua.... baada ya kumshika mke na lijamaa

Ngabu,u cant be serious,women?"they are warry transgrassors"thats why they look so inocent

Women are so innocent, so pristine, and so wholesome to even think of cheating on their men. I refuse to accept that proposition.
 

............aiseee!! Kama ni kweli inawezekana huyo mama ana nguvu flani za giza, hii ni kiimani zaidi maana haingii akilini waume wote kuishia na risasi.
 
we we weeee,ishia hapo hapo,ndo unavyojidanganya hivyo,mimi tu hapa mke wa mtu kaniganda mbaya,huwa nachakachua kiaina,sasa hawachiti vp?au waolewe kabisa mara mbili?

Kaa mkao wa kujutia
 
Kwa kweli ni tukio la kushangaza sana, hata huyo aliekuwa chizi wanadai ni baada ya risasi kumparaza! Hapa Dodoma hizi ndio habari yilizoteka mji! Kijana alikuwa mtu wa watu sana!
 
Kaombwe miaka 28 .Vicky miaka 34????? ... Huyu kaombwe alikuwa bado ana mambo ya kitoto maana hata umri wake unaonyesha....we wife anapiga kazi za nje na wewe unajipindua kama huna akili nzuri....mamabo ya kujiuwa ya kijinga sana hayo...
 
Neno la Mungu linasema kuwa mpende Bwana Mungu wako kwa nguvu zako zote, akili zako zote na uwezo wako wote na umpende jilani yako kama unavyo jipenda. Kwa mawaidha hayo nasema kuwa watu wanahitaji darasa au counseling, maana kama unampenda Muumba wako utamuogopa saana na kama unajipenda huwezi kujiuwa kwa ajili ya jilani. Kwa sababu mke si Nduguyo wala hukuzaliwa naye.Lakini neno la Mungu linasema ''Matthew : 19: 9 Kama mwanamke ametenda kosa kubwa la uzinzi unayo haki kumuacha na kumpatia talaka.Hapo mtu hafungwi kuoa au kuolewa tena. Kwa hiyo katika kumpenda mkeo hata kama mna watoto uwe na kiasi kukosa kiasi ni ujinga. Mungu amekupa akili na utashi ndio maana wewe ni mtu si mnyama. Kwa mwanamke vivyo hivyo uwe na kiasa Umpende saana Mungu wako, usitoe moyo wako wote kwa jilani yako, uwe na hekima na maarifa.Fikiria sasa maisha ya hiyo familia????????? Watu tuwe waaminifu kwenye ndoa zetu, madhara ya kukosa uaminifu ni makubwa saana kwa familia zetu!!!!!!!
 
 
we we weeee,ishia hapo hapo,ndo unavyojidanganya hivyo,mimi tu hapa mke wa mtu kaniganda mbaya,huwa nachakachua kiaina,sasa hawachiti vp?au waolewe kabisa mara mbili?
Acha hiyo tabia utakufa, fikiria maisha yako ndugu yangu bado una future yako, achana na mijimama. Panga maisha yako ya baadae, pata mke mwema uoe, jifunze neno la Mungu mtangulize Mungu kabla ya chochote katika maisha yako!!!!!!!!!!
 

mh!!! anakitu gani huyu mwanamke? mh iko namna si bure
 
Hii haiwezekani bana! Toka lini wanawake wameanza kuchiti? Wanawake huwaga hawachiti bana. Huyo jamaa maisha tu yamemshinda na akaamua kujiua sasa wanamsingizia infii mkewe.

Mi bado nakataa bana. Wanawake huwaga hawachiti.

Wanawake hawachiti bana. Huo ndo ukweli wenyewe. Jamaa alikuwa na wasiwasi wa bure tu.

Sijawahi kabisa mimi kuona mwanamke anayechiti. Hata hapa uliza hawa akina dada waliopo hapa JF watakwambia.

Women are so innocent, so pristine, and so wholesome to even think of cheating on their men. I refuse to accept that proposition.
Wanawake huwa hawachitiki kabisa wanasingiziwa, they are so innocent like angles in the heaven.
 
wivi ni compulsory content ya mapenzi ila ukizidi ni hatari
siongezi neno kwenye hii sredi
 
Kaombwe miaka 28 .Vicky miaka 34????? ... Huyu kaombwe alikuwa bado ana mambo ya kitoto maana hata umri wake unaonyesha....we wife anapiga kazi za nje na wewe unajipindua kama huna akili nzuri....mamabo ya kujiuwa ya kijinga sana hayo...

hapa hapasemwi ukweli watu watakuona mkosaji
zuga unampa pole marehemu ili usisemwe vibaya
 
Inasikitisha sana mtu anapoamua kujidhulum uhai wake, Fred was my classmate enz za o levo na alikuwa na udhaifu wa mapenzi tangu kipindi icho.
Kweli .enzi za Tembo beach .peninsula. Tina kamgisha.Anastela
.mwembeseco.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…