Ofisa alipwa mara 10 mshahara wa JPM

Ofisa alipwa mara 10 mshahara wa JPM

kbm

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2012
Posts
5,224
Reaction score
1,686
Kamati Maalum ya Uchaguzi wa gesi iliyoundwa na Spika Job Ndugai, mwishoni mwa mwaka jana, imewasilisha ripoti yake jana na katika mambo iliyobaini ni mmoja wa watumishi wa Kampuni ya PanAfrican Energy kulipwa mshahara wa sh.. Milioni 96, ambao ni mara 10 ya mshahara wa Rais John Magufuli ambao ni sh. milioni 9.5 kwa mwezi.

Chanzo: NIPASHE
 

Attachments

  • IMG_20180603_090809.jpg
    IMG_20180603_090809.jpg
    202.3 KB · Views: 49
Yaani Watanzania tushaonekana wajingawajinga kwahiyo wanatuletea sinema kila siku kusogeza siku mbele huku wanaendelea kutupiga.

Yaani kuwaongoza Watanzania rahisi sana.
Ndiyo hivo mkuu.Yani jamii ya kitanzania ni ya ajabu sn,hakika tuna Safar ndefu.
 
pili,kwani nani alikuambia kuwa hapa duniani ktk nchi yyte rais ndio anatakiwa aongoze kwa mshahara?
 
Drama hizi.Mara ooh kuna mtu analipwa M7 Kwa dakika!!!

CCM bwanaaaaa!
kwa huyu jamaa Wa 97mil, maana yake kila (a) Sekunde 112.26Tsh (b) 6736.11Tsh kila dk (c). saa 404,166.6Tsh (4k) (d) day 3,233,333.33Tsh (Massa ya kazi (3mil) (e) week 22,633,333.33Tsh (f) monthly 97,000,000 Tsh.
Hapo ni nje ya marupu rupu na allowance zingine kama nyumba, Gari, mafuta, Umeme
Kwa maana nyingine huyu anauwezo Wa kujenga nyumba kubwa yenye kila kitu kila mwezi,
mtu huyo pia kama hiyo 97mil atalipwa kwa noti za elf 2, basi Pesa zake zinajaa kwenye Noah, na kama atalipwa kwa noti ya elf moja basi atatakiwa zijae kwenye Coaster!!!
 
Back
Top Bottom