kbm
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 5,224
- 1,686
Kamati Maalum ya Uchaguzi wa gesi iliyoundwa na Spika Job Ndugai, mwishoni mwa mwaka jana, imewasilisha ripoti yake jana na katika mambo iliyobaini ni mmoja wa watumishi wa Kampuni ya PanAfrican Energy kulipwa mshahara wa sh.. Milioni 96, ambao ni mara 10 ya mshahara wa Rais John Magufuli ambao ni sh. milioni 9.5 kwa mwezi.
Chanzo: NIPASHE
Chanzo: NIPASHE