Official Video: Zilipendwa by All WCB Artists

Official Video: Zilipendwa by All WCB Artists

Mi sijausililiza hata huo wa seduce me sijausikiliza pia, nasikia eti hauwezi kuzungumzia moja kati ya hizo bila kuutaja mwingine.
 
Kwa nilivoangalia vzri naona wote wako sawa yale mawigi hayajawafunika usoni

Af wigi la malomboso ndo liko vzri lipo pembeni sio katikati
Namalizia dompo
 
huu mziki umefanya juzi natafuta uzi wa zile zilipendwa za akina ddc, jamhuri, vijana jazz nakadhalika, nikatype zilipendwa aisee, yaani kuna uzi nikifungua ni zilipendwa ya huyu almasi, zile zilipendwa za zamani sikuweza ziona tena, manake kulikuwa na wimbo flani nautafuta niliwahi uona katika uzi wa zilipendwa, nilikodoa kodo kila uzi naofungua ni diamond
 
hata sijaelewa una maanisha nini

Ni kawaida yetu waafrica tuna upeo mdogo wa uelewa yaani IQ, we pia kuna kila uwezekano ulifeli la saba na form 4.

Sasa nashindwa kuelewa umeweza kufungua email kufungua account, umeweza matumizi ya mtandao wa jf ila tu umeshindwa kuielewa habari yenye paragraph 3? Hii inanishangaza na kunihuzunisha kwa kweli
 
yule mwarab ndo kafunika maana kamkumbatia dem geto kitandan huku yupo kifua waz....na surual haijafungwa...
 
Napenda tu pale yule jamaa anasema wengine wabeba vyuma ila hawana marinda[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Ni kawaida yetu waafrica tuna upeo mdogo wa uelewa yaani IQ, we pia kuna kila uwezekano ulifeli la saba na form 4.

Sasa nashindwa kuelewa umeweza kufungua email kufungua account, umeweza matumizi ya mtandao wa jf ila tu umeshindwa kuielewa habari yenye paragraph 3? Hii inanishangaza na kunihuzunisha kwa kweli
Hahahaa pole sana mkuu, ila usihuzunike!! nimesoma sana na ndio maana sijaelewa! kwa kifupi dokta hawezi kuelewa mambo ya mainjinia and vice versa!! kama kweli huna IQ ndogo basi utakua umenielewa!!
 
Back
Top Bottom