Matoke rasmi ni kwamba CCM wameshinda madiwani wengi bukoba mjini (KATA 10) na hivyo kuunda baraza la kata wakati CUF na CHADEMA wamepata kata 2 kila mmoja.
Matokeo ya ubunge mpaka saa nane jioni
Matokeo ya udiwani yamethibitishwa na msimamizi wa uchaguzi
source: ITV
Matokeo ya ubunge mpaka saa nane jioni
Matokeo ya udiwani yamethibitishwa na msimamizi wa uchaguzi
source: ITV