Elections 2010 OFFICIAL RESULTS UDIWANI BUKOBA MJINI: CHADEMA KATA 2, CUF KATA 2 na CCM WABEBA 10

wihanzi

Member
Feb 10, 2009
62
3
Matoke rasmi ni kwamba CCM wameshinda madiwani wengi bukoba mjini (KATA 10) na hivyo kuunda baraza la kata wakati CUF na CHADEMA wamepata kata 2 kila mmoja.

Matokeo ya ubunge mpaka saa nane jioni

Matokeo ya udiwani yamethibitishwa na msimamizi wa uchaguzi

source: ITV
 
congratulations to all the winners, and the losers should remember it is not the end of the road yet.................voters' voice ought to be respected.........
 
Back
Top Bottom