donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,049
- 21,526
not available in your country na hilo li bloatware la samsung app nilishalifuta zamani.
masikini wametutenga alopata apk inayofanya kazi aeke bas
Nime download tayari but haijaanza kufanya kazi... nimefika kwenye setting wameleta ujumbe niandike e - mail watanijulisha natakiwa kusubiri.. why??
Hapana mkuu chesco Matunda, jana jamaa wangu ana s3 amedownload fresh na inapiga mzigo fresh, nkikaa poa ntarusha screen shots, mi natumia bb so nachat nae hapa!
Kama ni hiyo tangu June ilikuwepo nilikuwa nimejaribu hamna kitu hapo..
kaka bbm imetoka ila kwa nchi chache nikiicheki store naambiwa not available in your country.
najua na mda huu huu wenye virusi na malware watatoa bbm za uwongo kuziteka simu zetu.
tusubirie mwenye apk ambayo kashaitest kabisa na sio za ku google
mbona mimi nimeipata kwenye play store mkuu ba iko poa tu.. na nimeipata jana kama saa 8 usiku hv.
upo tanzania?