QM,
katika maswala ya mashuzi kama hayo mkuu wala usihangaike sanaa... kifupi ilikuwa ktk kuwaonyesha vijana tuliweza kuyarudi vipi... ingawa ndio walituona kama vile watu wa msituni tukipandisha mashetani..
Kitu kimoja tu lazima nikisema, haikuwa oldschool kwetu sisi maanake nyimbo nyingi zilikuwa kati ya 1988 hadi 90s.. huko kwetu sisi waligusagusa tu.. hata hivyo haikuchusha sana, Ma DJ hawakuchusha sana kama maandilizi yenywe, huko wala sitaki kwenda kabisa maanake duh! ilikuwa aibu..
Meeting U fellas, was worth every penny and time!
katika maswala ya mashuzi kama hayo mkuu wala usihangaike sanaa... kifupi ilikuwa ktk kuwaonyesha vijana tuliweza kuyarudi vipi... ingawa ndio walituona kama vile watu wa msituni tukipandisha mashetani..
Kitu kimoja tu lazima nikisema, haikuwa oldschool kwetu sisi maanake nyimbo nyingi zilikuwa kati ya 1988 hadi 90s.. huko kwetu sisi waligusagusa tu.. hata hivyo haikuchusha sana, Ma DJ hawakuchusha sana kama maandilizi yenywe, huko wala sitaki kwenda kabisa maanake duh! ilikuwa aibu..
Meeting U fellas, was worth every penny and time!