Ofa ya halotel chuo je ni ya kweli

Ofa ya halotel chuo je ni ya kweli

Davives

Senior Member
Joined
Feb 2, 2024
Posts
110
Reaction score
131
Wakuu samahani

Nimesajili laini mpya ya HALOTEL ya chuo Ina wiki Sasa

Walinipa gb kama 5 hivi za ofa mwanzoni navosajili alafu wakasema Kuna ofa ukiunga kifurushi cha mb 980 cha 2000 na ukatumia ndani ya masaa SITA kikaisha wanakupa ofa ya gb 2.

Nataka kuuliza kama Kuna mtu ashawi fanya hii na akapewa hiyo ofa .nisije nikaunga nikatumia mb ovyo ziishe afu wasinipe ofa😂😂

All
 
Back
Top Bottom