Habari za wakati huu,
Leo nilienda katika duka la halotel kubadilisha laini yangu kuwa ya 4G.
Sasa kutokana na simu janja yangu ninayoitumia ilikua ni ya laini moja ikabidi hii laini ya halotel niiweke kwenye simu ya hizi ndogo wengi wanaziita kiswaswadu kutokana na wakati huo nilikua sina matumizi nayo hasa kwenye upande wa data
Sasa kufika mapokezi ,mtoa Huduma nilimueleza shida yangu na yeye akanijibu kuwa ili kubadilisha hiyo laini iwe ya 4G ni lazima iwe kwenye simu inayosapoti 4G.
Ikabidi niitoe laini kwenye ile simu ndogo ili niiweke kwenye simu janja,Mara ananiambia hiyo laini inatakiwa ikae kwenye hiyo simu kwa muda wa wiki ndio itawezekana kubadilisha na kuwa ya 4G.
Je, kama huu ndio utaratibu wa Halotel,vipi kwa mitandao mingine maana nilipanga pia nikabilishe na laini yangu ya voda,lakini baada ya kuona kama utaribu ndio huu ilibidi tu nihairishe nisije nikapoteza muda wangu bure.
Leo nilienda katika duka la halotel kubadilisha laini yangu kuwa ya 4G.
Sasa kutokana na simu janja yangu ninayoitumia ilikua ni ya laini moja ikabidi hii laini ya halotel niiweke kwenye simu ya hizi ndogo wengi wanaziita kiswaswadu kutokana na wakati huo nilikua sina matumizi nayo hasa kwenye upande wa data
Sasa kufika mapokezi ,mtoa Huduma nilimueleza shida yangu na yeye akanijibu kuwa ili kubadilisha hiyo laini iwe ya 4G ni lazima iwe kwenye simu inayosapoti 4G.
Ikabidi niitoe laini kwenye ile simu ndogo ili niiweke kwenye simu janja,Mara ananiambia hiyo laini inatakiwa ikae kwenye hiyo simu kwa muda wa wiki ndio itawezekana kubadilisha na kuwa ya 4G.
Je, kama huu ndio utaratibu wa Halotel,vipi kwa mitandao mingine maana nilipanga pia nikabilishe na laini yangu ya voda,lakini baada ya kuona kama utaribu ndio huu ilibidi tu nihairishe nisije nikapoteza muda wangu bure.