Ofa ya dina kwa mkaka siku ya wapendanao

Ofa ya dina kwa mkaka siku ya wapendanao

Kwa wale masigle boy,

Napenda kutoa ofa ya dina kwa mkaka siku ya wapendanao mahali ni BAHARI BEACH HOTEL..

Sifa:
Miaka 27-35

Kupendeza muhimu.

Kwa atakayependa nipigie 0712 193 159..

Ingekuwa ni ''ofa ya LUNCH'' ningekubeep. Ila 'dina' ... mmmh!! usiku una mambo mengi bhana, hehehehee.
 
Ofa ya mwanamke? Dina!! Usiku?? Hapo kuna usalama?
 
swali gani hilo, jina lake halitosh kujua kama yy ni ke/me???
 
Kwa wale masigle boy,

Napenda kutoa ofa ya dina kwa mkaka siku ya wapendanao mahali ni BAHARI BEACH HOTEL..

Sifa:
Miaka 27-35

Kupendeza muhimu.

Kwa atakayependa nipigie 0712 193 159..


Waeleze watakotaka waku-PM na picha zo!!
 
ingawa siwashauri wanaume kupenda sana ofa za wanawake, zina madhara fulani fulani

He he he sijui kama tuko on the same side but sidhani kama no busara kupenda ofa sio ya mwanamke au mwanaume mwenzie
 
si kuna mtu nimeona kaanzisha thread ni mpweke. aje achukue fursa.
mkienda pm manataka namba,sasa namba hiyoo kila mtu aogopa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom