Ofa kwa wanaojishughulisha na sherehe

Investaa

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2015
Posts
916
Reaction score
932
Habari wanaJF, natoa ofa kwa watu wanaojishulisha na mambo ya sherehe kama mc,mapambo,mavaz,mapishi,saloon,kadi,ukumbi,usafiri n.k. Natoa ofa kwa kuwatangazia kwenye website bure ndani ya miezi mitatu kabla ya kuanza kulipia huduma hii ya matangazo, kinachotakiwa ni kutumia wadhifa wako na kazi zako ulizozfanya kama mc,mapambo n.k. Nitumie PM
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…