One-sided, myopic, unrealistic and very shallow analysis. Likely uko nje na huelewi hali halisi au ni chawa anayeuma na kupuliza kama mwenzako Pasiko Mayala.
Ni wapi tulipoangukia? Tunasongaje mbele wakati madai ya waandamanaji hakuna hata moja lililotekelezwa?
Walioharibu mali na miundombinu umesema mkono wa sheria utawashughulikia, vipi walioua maelfu ya Watanzania tena wengine, kama ushahidi wa video unavyoonyesha, wakiwa siyo hata washiriki wa hayo maandamano? Hawa hawawajibishwi? Au kwako mali na miundombinu vilivyoharibiwa ni vya muhimu zaidi kuliko maisha ya maelfu ya watu waliouwawa indiscriminately? Utawezaje kusonga mbele katika mazingira haya?
Ni nini hasa kilisababisha hayo maandamano? Anzia hapo na utambae kikakamavu bila woga na uchawa kama ulivyofanya hapa.
➡️➡️➡️ Title ya uzi wako inapaswa kuwa "October 29 Tulianguka, Hatujainuka na Hatujasonga Mbele" 📌
View attachment 3499634