OCS afumaniwa na mwanafunzi wa Kidato cha Nne

OCS afumaniwa na mwanafunzi wa Kidato cha Nne

Hapa si kufanya mapenzi bali ni ubakaji.
Kutumia mamlaka yake kujipatia penzi.
Kuzini na mtoto{if she is under 18yrs}

kama sheria itamtia hatiani adhabu ni kifungo miaka 30 jela.

that means mwamedi angekula miaka 30+ kwani naye aliopoa ka miaka 9, ka Aisha

Au wananchi wenye hasira kali wangempiga mawe na kumpiga mayai mpaka yapasuke!
 
Mkuu wa kituo cha polisi cha Nyamboge kata ya Katoma wilayani Geita akutwa jana chumbani akifanya mapenzi na mwanafunzi wa kidato cha 4.

Wananchi walimteka na kumpeleka kituo cha polisi,mkuu huyo wa kituo cha polisi anadaiwa kwamba siku 10 zilizopita alimuweka mahabusu mwanafunzi huyo kumtisha akubali kufanya nae mapenzi.

Tayari mkuu wa polisi wa wilaya ya Geita amekwenda jana kwenye eneo la tukio.

Endelea kufuatilia hapa JF.

huyo angepondwa mayai, naskia huyo jamaa akimtamani mrembo usiku anamjia na kumkamata kwa kusingizia uhalifu.
hapo hakuna kesi, policcm wataenda kuwahani familia kwa ubani wa 0.5m then ushahidi unapotea.
 
Hapo wapo juu ya sheria wacha wajifanyie wanavotaka, ukiyashangaa ya OCS utayaona ya Kapuya
 
Uhalisia uko wapi? Africa kusini kuua bila kukusudia ni miaka 15 leo mtu afungwe miaka 30 kisa kalala na mmama wa kidato cha nne????

uhalisia uko hivi: kama ukiona vipi mpeleke dada yako, mama yako au ndugu yako yeyote abakwe na huyo OCS halafu uwaombe mahakama wamfunge mbakaji miaka 15 badala ya 30!
 
Maafande wanajua sana kushadadia kauli mbiu ya tii sheria bila shurti wakati wao wanashindwa kuisimamia sheria bila shurti
 
teh teh teh kwani kosa lake umri wa huyo binti au uwanafunzi wa binti au kufanya mapenzi bila kumuoa?
 
Atapandishwa cheo kama walivyo fanya kwa KAMUHANDA,kuua ndo jambo kubwa sembuse uroda,hii ndiyo tanganyika.
 
Atapandishwa cheo kama walivyo fanya kwa KAMUHANDA,kuua ndo jambo kubwa sembuse uroda,hii ndiyo tanganyika.

Amekomaliwa na wakubwa n ngumu halafu waandishi nao wameikomalia,na saivi geita wanawaogopa na kuwaheshimu sana waandishi kwa sbb wamekuwa wakifichua sana maovu yao akiwemo aliyekuwa OCD wa Geita Busee Bwire ambaye ameshushwa cheo na sasa anasoma magazeti kwa RPC
 
suala la ukabila hapa linatoka wapi? topic OCS abebaka mwanafunzi,kama ni kweli au la tusubiri mashitaka ya kijeshi yataamua kama ni kweli ,acha kueneza ukabila hapa mpuuzi wewe
 
Amekomaliwa na wakubwa n ngumu halafu waandishi nao wameikomalia,na saivi geita wanawaogopa na kuwaheshimu sana waandishi kwa sbb wamekuwa wakifichua sana maovu yao akiwemo aliyekuwa OCD wa Geita Busee Bwire ambaye ameshushwa cheo na sasa anasoma magazeti kwa RPC


Kumbe kodi zetu zinatumiwa vibaya, kwanini mtu alipwe mshahara kila mwezi kwa kusoma magazeti tu
 
mpaka sasa huyo ocs kachukuliwa hatua gani anayefahamu anijuze tafadhali!
 
Back
Top Bottom