OCS afumaniwa na mwanafunzi wa Kidato cha Nne

OCS afumaniwa na mwanafunzi wa Kidato cha Nne

Tupe Majina ya huyo OCS

Nimesema fuatilia happa JF utapata taarifa zote ikiwa ni pamoja na nini kitafanyika RPC ataongea na waandishi wa habari wa Geita mchana atalizungumzia hilo akimaliza nami nitaletewa hiyo taarifa na kuiweka humu.lakini pia nadhani kwa taarifa nzuri sana itakuwa kwenye FikraPevu kwa sbb hapa naona watu wanaweka kejeli na wengine kudai ni uongo.
 
Mkuu wa kituo cha polisi cha Nyamboge kata ya Katoma wilayani Geita akutwa jana chumbani akifanya mapenzi na mwanafunzi wa kidato cha 4.

Wananchi walimteka na kumpeleka kituo cha polisi,mkuu huyo wa kituo cha polisi anadaiwa kwamba siku 10 zilizopita alimuweka mahabusu mwanafunzi huyo kumtisha akubali kufanya nae mapenzi.

Tayari mkuu wa polisi wa wilaya ya Geita amekwenda jana kwenye eneo la tukio.

Endelea kufuatilia hapa JF.

hivi hawa poliCCM ni lini wataacha kuwabaka watoto wetu na kuwaambukiza mimba na UKIMWI? mitutusa mingine bhana!
 
huyo no kupambana mpaka aende mahakamani

na akishafikishwa kwenye mahakama hizi za CCM unadhani atafungwa? huyu adhabu yake ilikuwa ni kumpasulia mayai makaliyoni kisha wananchi wenye hasira wampasue kichwa wamalize hiyo kesi.
 
masukum majungu sana ndio maana hayaendelei kimaendeleo kazi majungu na uchawi na huyu mleta mada msukuma sishangai

sasa wewe mbakaji si useme kama huyo uliyembaka ni mtu mzima au kama ni mwanafunzi? hebu tupeni ukweli basi.
 
zamani kidogo nilipokuwa naona fulani kabaka basi najua imekuwa taflani kumbe ni upuuzi wa kijinga ..kubaka na kufanya mapenzi ni tofauti sana kama mbingu na ardhi

kufanya mapenzi na mtoto under 18 hata kama mmekubaliana ni UBAKAJI. unataka kutetea nini hapa?
 
huyo wange mla kiboga kwanza nyambaf.....maana unaweza skiaa wakamuhamisha mkoa shnz typ
 
Hapa si kufanya mapenzi bali ni ubakaji.
Kutumia mamlaka yake kujipatia penzi.
Kuzini na mtoto{if she is under 18yrs}

kama sheria itamtia hatiani adhabu ni kifungo miaka 30 jela.

Uhalisia uko wapi? Africa kusini kuua bila kukusudia ni miaka 15 leo mtu afungwe miaka 30 kisa kalala na mmama wa kidato cha nne????
 
Mkuu wa kituo cha polisi cha Nyamboge kata ya Katoma wilayani Geita akutwa jana chumbani akifanya mapenzi na mwanafunzi wa kidato cha 4.

Wananchi walimteka na kumpeleka kituo cha polisi,mkuu huyo wa kituo cha polisi anadaiwa kwamba siku 10 zilizopita alimuweka mahabusu mwanafunzi huyo kumtisha akubali kufanya nae mapenzi.

Tayari mkuu wa polisi wa wilaya ya Geita amekwenda jana kwenye eneo la tukio.

Endelea kufuatilia hapa JF.

dah mkuu ka uroho kamemzidia...jambo afwandiii
 
Mtoa taarifa tafadhari weka jina la mkuu huyo kwani ametenda kitendo cha unyanyasaji dhidi ya mwanafunzi ana takiwa afunguliwe kesi ya ubakaji kwa kua katumia cheo chake kwa kumtisha mlengwa]
 
Back
Top Bottom