OCS afumaniwa na mwanafunzi wa Kidato cha Nne

OCS afumaniwa na mwanafunzi wa Kidato cha Nne

Du yulejamaa huwa fara sana kuna siku kanikuta nilikua na gari limepata pancha kaniambia nilisukume kuliondoa njiani nikakataa kanambia usije kituoni kwangu nami nikamwambia kwani mie mgambo mpaka nije kituoni?
 
Hapa si kufanya mapenzi bali ni ubakaji.
Kutumia mamlaka yake kujipatia penzi.
Kuzini na mtoto{if she is under 18yrs}

kama sheria itamtia hatiani adhabu ni kifungo miaka 30 jela.

Kwa sheria zetu hizi za mtoto anaruhusiwa kuolewa kwa idhini ya mahakama akiwa na miaka 14, unadhani kwa mkasa huu itakuaje kama sio kupindisha pindisha? Siku hiz maadili kwishney mijibaba hayawaogopi wanafunzi na wanafunzi wengine nao hawaogopi mijibaba ili mradi vurugu mechi. Kikubwa ni kuwalea watoto katika njia ipasayo kuhakikisha wanaepukana na haya mambo though kuna wengine wanaingiliwa kwa nguvu ila wengine kutokana na malezi na mfumo wa maisha wa wazazi wao wanajikuta wanakuwa na mitabia ya ajabu
 
Mkuu wa kituo cha polisi cha Nyamboge kata ya Katoma wilayani Geita akutwa jana chumbani akifanya mapenzi na mwanafunzi wa kidato cha 4.

Wananchi walimteka na kumpeleka kituo cha polisi,mkuu huyo wa kituo cha polisi anadaiwa kwamba siku 10 zilizopita alimuweka mahabusu mwanafunzi huyo kumtisha akubali kufanya nae mapenzi.

Tayari mkuu wa polisi wa wilaya ya Geita amekwenda jana kwenye eneo la tukio.

Endelea kufuatilia hapa JF.
Muziki bomba huo! Panya yupi akamfunge paka kengele?
 
Sasa wanampeleka kituo cha polisi na yeye ndo mkuu wa hicho kituo? utashangaa kesho anadunda na kusema walikubaliana na huyo mwanafunzi..wangemwasha kiberiti huyo mbakaji afu kabla hajafariki wazime moto abaki na majeraha ambayo angeyatibu maisha yake yote...
 
hivi hawa poliCCM ni lini wataacha kuwabaka watoto wetu na kuwaambukiza mimba na UKIMWI? mitutusa mingine bhana!

Wananchi wale nao wapole sana kudadadeki!! Kwa nini hawajamkarabati? Walipaswa kumtembeza mtaani akiwa uchi kabisa!
 
Hapa si kufanya mapenzi bali ni ubakaji.
Kutumia mamlaka yake kujipatia penzi.
Kuzini na mtoto{if she is under 18yrs}

kama sheria itamtia hatiani adhabu ni kifungo miaka 30 jela.

Hamna kitu hapo, itachezwa tamthilia ya isidingo hapo mara utasikia hilo swala ni uzushi!
Hebu nikukumbushe ya David Mwangosi, RPC Kamuhanda wa Iringa alipandishwa cheo! lini umesikia kesi ya yule askari aliyefyatua bomu ikitajwa tena! Wananchi walitakiwa kumaliza game pale pale kuliko kusubiri tamthilia!
 
huyo wange mla kiboga kwanza nyambaf.....maana unaweza skiaa wakamuhamisha mkoa shnz typ

Uwiiii njooo dar sijuiii utakula wangapiii viboga

Wanafunzi ndio msemo mzima dar sikuhizi ukienda had I ukanda was Gaza afrikasana unawakuta mpwa

Nlienda kupeleka wageni wangu lodge moja nkawakuta wamekodisha vyumba wazazi wanajua wako boarding

Lodge iko kumekucha inaitwa Elizabeth

Mbaya wanaume wanaingia ndani wanachagua wanamaliza hukihukondani na wenzao wakiwepo niliposikia niliumia sana sana
 
Huyo ana matatizo. Yaani kaacha watu wazima kafata kitoto anapata raha gani? Hii nchi kunahitajika mabadiliko makubwa sana. Hivi Kapuya nae si alichomoka na kitoto cha form four? My God... Na siku hizi wanavyosoma wadogo.... Yaa rabi!
 
Wananchi wale nao wapole sana kudadadeki!! Kwa nini hawajamkarabati? Walipaswa kumtembeza mtaani akiwa uchi kabisa!

Hawa wa Geita sijui vipi....pande za Dar huyu wangemchapa nao na yeye halafu picha kwa wingiiii facebook na watsup......angeama mji mwenyewe....nananae zake....hawezi kutongoza watu wazima ----- huyu!
 
Huyo OCS achunguzwe hata kwa makosa mengine kama ujambazi ambayo yameshamiri sehemu hizo. Tutegemee nini kutoka kwa watu walio na dhamana nasi?
 
Mkuu wa kituo cha polisi cha Nyamboge kata ya Katoma wilayani Geita akutwa jana chumbani akifanya mapenzi na mwanafunzi wa kidato cha 4.

Wananchi walimteka na kumpeleka kituo cha polisi,mkuu huyo wa kituo cha polisi anadaiwa kwamba siku 10 zilizopita alimuweka mahabusu mwanafunzi huyo kumtisha akubali kufanya nae mapenzi.

Tayari mkuu wa polisi wa wilaya ya Geita amekwenda jana kwenye eneo la tukio.

Endelea kufuatilia hapa JF.

Kwani yupo chini ya 18?
 
Mkuu wa kituo cha polisi cha Nyamboge kata ya Katoma wilayani Geita akutwa jana chumbani akifanya mapenzi na mwanafunzi wa kidato cha 4.

Wananchi walimteka na kumpeleka kituo cha polisi,mkuu huyo wa kituo cha polisi anadaiwa kwamba siku 10 zilizopita alimuweka mahabusu mwanafunzi huyo kumtisha akubali kufanya nae mapenzi.

Tayari mkuu wa polisi wa wilaya ya Geita amekwenda jana kwenye eneo la tukio.

Endelea kufuatilia hapa JF.


Tuone sasa ile ahadi ya curious president kuwa ukibainika kubaka msichana haswa mwanafunzi na kufungwa anakuongezea miaka 10 yake yeye mwenyewe. Yaani ukifungwa miaka 5, curious president anakuongezea mingine kumi. Niko nasikilizia.
 
Back
Top Bottom