Beria hufunguliwa saa 12 jioni na kuondolewa saa 12 lfajiri, beria huwa ina vyuma kama kizuizi, hairuhusiwi gari kupita bila kukaguliwa hii ni kwa ajili ya usalama wa nchi kwa kiasi flani, kufichua maovu na kuzuia magendo. Kuna historia kubwa ya madawa ya kulevya kupita hapo kwa kiasi kikubwa na wamekuwa wakiwakamata hapo (fuatilia habari za miezi ya nyuma).
Beria hupekua magari yanayo beba magendo na kukagua magari yasiyo kihalali mtakumbuka gari lililoibiwa la Ikulu ya Kenya lilkamatwa hapo muda wa usiku, mafuta ya taa kutoka Kenya, mbao na bidhaa zingine zimekuwa zikipitishwa hapo kwa magendo ila baada ya kubaini kuna beria ipo wamekuwa wakikamatwa sana na hivyo magendo hayo kupungua, askari huwa wanawaomba madereva leseni na kadi za magari na kuzikagua, pia ma askari huwa wanafungua buti la gari ili kuona kuna nini wanachobeba usiku ambayo ni vizuri ki usalama.
OCD ameamua kuwa vyuma havitakuwepo tena itabaki doria ya gari tu hapa kutakuwa kuna kitu anakijiua yeye na si vinginevyo.
Swali la kujiuliza:
---------------------------------------------------------------
UPDATES
Afadhali leo wameweka beria,
Beria hupekua magari yanayo beba magendo na kukagua magari yasiyo kihalali mtakumbuka gari lililoibiwa la Ikulu ya Kenya lilkamatwa hapo muda wa usiku, mafuta ya taa kutoka Kenya, mbao na bidhaa zingine zimekuwa zikipitishwa hapo kwa magendo ila baada ya kubaini kuna beria ipo wamekuwa wakikamatwa sana na hivyo magendo hayo kupungua, askari huwa wanawaomba madereva leseni na kadi za magari na kuzikagua, pia ma askari huwa wanafungua buti la gari ili kuona kuna nini wanachobeba usiku ambayo ni vizuri ki usalama.
OCD ameamua kuwa vyuma havitakuwepo tena itabaki doria ya gari tu hapa kutakuwa kuna kitu anakijiua yeye na si vinginevyo.
Swali la kujiuliza:
- Toka lini serikali ikaamua magari ya usiku yasikaguliwe kwenye maeneo nyeti na maalum,
- Nani yuko nyuma ya OCD kulivunja Beria ili magendo, pombe haramu na shehena za madawa ya kulevya kama mirungi na mengine yapite ki urahisi hapo,
- Je hayo ni maamuzi kwa manufaa yake binafsi?
---------------------------------------------------------------
UPDATES
Afadhali leo wameweka beria,
Last edited: