Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,472
Wangari Maathai huyo askari alimkula ndogo mama yoyo?
Ishu ni very sensitive siwez iweka hapa! Alafu jaribu kuniheshimu! Huwez usiniqoute...sio wote wapuuzi km wwš
Wangari Maathai huyo askari alimkula ndogo mama yoyo?
Asante sana nakushukuru kwa hiloNiliona uzi wako unataka kwenda katavi sijui! Nenda huko kuna fursa zaidi navyoskia...kuna kaka nimemaliza naye std 7 yuko huko..yy ni tajiri...anauza radio tv mafriji anapeleka zambia asali..ananiambia fursa nje nje!/kila la heri bro!
Kutokujua ama kujua kisa hakunihusu, Geita naijua vizuri kuliko unavyofikiri nimefanya kazi huko.Tulia ww!..acha kutisha tisha mie sio mtoto mdg! Ht hujui kisa!š
Jifunze kuandika maneno kamili usifupishe fupishe.Ishu ni very sensitive siwez iweka hapa! Alafu jaribu kuniheshimu! Huwez usiniqoute...sio wote wapuuzi km wwš
Jifunze kuandika maneno kamili usifupishe fupishe.
Issue sensitive ni mapenzi tu zingine zote sio sensitive, unaishi wapi kwanza Mseto au Msalala road?
Jifunze kuandika maneno kamili usifupishe fupishe.
Issue sensitive ni mapenzi tu zingine zote sio sensitive, unaishi wapi kwanza Mseto au Msalala road?
Kutokujua ama kujua kisa hakunihusu, Geita naijua vizuri kuliko unavyofikiri nimefanya kazi huko.
Huwezi mfanya lolote askari huyo zaidi watakuchekecha hadi utaiona Geita chungu
Asante sana nakushukuru kwa hilo
Shida kule wadau wananambia nikauze mazao nami mtaji wa kuuza mazao sina
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante sana Mungu anisaidieWw unahofu usiyoijua!...usikariri aisee...usidhan watu wanaanzaga na mitaji mikubw ..hakuna! Ww nenda jiambie moyoni mwako naenda pambana nofanikiwe ..nxt yr uje utoe ushuhuda hapa!
AmenKajichanganye uwezavyo..usiwe mtu wa maringo...utaona mwanga mapema sana!kila la heri
Kwa hili atakumbukwa sana..Lugola..Mie kuna askari geita mjini namlia tu timing hapa!...namwangalia tu!...atajuta kunijua!
Labda anawafahamu zaidi yako au yupo nao!Tulia ww!..acha kutisha tisha mie sio mtoto mdg! Ht hujui kisa!
Narudia tena andika maneno yaliyokamilika ujinga acha!Yaan ww hujui ulisemalo aisee...ss ww kufanya kaz geita mm kunaniongeze kitu gan!?...umeishiwa! Laiti ungejuaš¤
Bwahahahahaha eti utawala endelea kudanganyika kilofa wakikushika hautaaminiMie pia nawfahamu vyema asidhan huu utawala ndo ule! Nop!/ni vile sina tu muda
Sema unaishi mtaa gani tutembeleaneMbona km case yangu umeikomalia mkuu? Nn shida? ..ww unataka kujua napoishi ili iweje kw mfano?khaa nipishe hebu
Nani amekuambia nna hamu ya kutembelew?Sema unaishi mtaa gani tutembeleane
Bwahahahahaha eti utawala endelea kudanganyika kilofa wakikushika hautaamini
Narudia tena andika maneno yaliyokamilika ujinga acha!
Kufanya kazi kwangu Geita hakukuongezei chochote wewe ila kumenipa experience ya kuijua Geita vizuri.
.
Nimeishiwa nini andika ambacho unahisi mimi sikijui kuhusu Polisi na Magereza Geita nikufurahishe wewe ni wakunyooshwa eti namlia timing wewe?shubahamit