Hivi IGP Mwema,wema wake upo wapi kwa watanzania? kwanini asichukue uamuzi mwepesi wa kumfuta huyu Gamba aliyevaa magwanda ya kaki na yaliyowekwa nyota mabegani?
Mzembe sana Zuzu beriberi eti OCD Arusha,Kwanini anatumia madaraka yake vibaya?
Naomba Ewe said mwana wa mwema onyesha wema wako kwa kumfuta kazi mara moja Zuzu wa beriberi!!
Nawakilisha
Mzembe sana Zuzu beriberi eti OCD Arusha,Kwanini anatumia madaraka yake vibaya?
Naomba Ewe said mwana wa mwema onyesha wema wako kwa kumfuta kazi mara moja Zuzu wa beriberi!!
Nawakilisha