OCD Ajigamba Kumkamata Salum Mwalimu

OCD Ajigamba Kumkamata Salum Mwalimu

Uongo huo, Kinana kasimama kuwasalimia watu waliokuwa wanamngoja hadi usiku. Ni kama Lowasa jana Zanzibar Airport.

Hivi ni lini mtajuwa kusema ukweli?
Acha uongo wewe, umeshakuwa mzee! Watu wakikungoja uwasalimie ndo kunakuwa na stage, viti, mapambo na mataa Kama hivi? Watu wa ccm lini mtajifunza kusema ukweli na kumuogopa mungu? Mtaondoka tu, kama sio leo ni kesho, lakini safari ya kuondoka imeshaanza
 

Attachments

  • FB_IMG_1433657659820.jpg
    FB_IMG_1433657659820.jpg
    26.1 KB · Views: 334
Acha uongo wewe, umeshakuwa mzee! Watu wakikungoja uwasalimie ndo kunakuwa na stage, viti, mapambo na mataa Kama hivi? Watu wa ccm lini mtajifunza kusema ukweli na kumuogopa mungu? Mtaondoka tu, kama sio leo ni kesho, lakini safari ya kuondoka imeshaanza
Aibu. . . .
 
Acha uongo wewe, umeshakuwa mzee! Watu wakikungoja uwasalimie ndo kunakuwa na stage, viti, mapambo na mataa Kama hivi? Watu wa ccm lini mtajifunza kusema ukweli na kumuogopa mungu? Mtaondoka tu, kama sio leo ni kesho, lakini safari ya kuondoka imeshaanza

Stage si iliwekwa wakijuwa kuwa atafika mapema. Cha ajabu nini? kachelewa akasimama kuwasalimia.

Leta huo unaosema ni mkutano ujionee.
 
Kinana kakosa nini hadi akamatwe?

Kama hâta wewe unayeshinda ktk média haujui kinana alifanya nini kuhusiana na hii mada Ndio maana huwa nasema mtu akishaingia ccm hâta km ni mzima kichwani lazima awe chizi
 
Stage si iliwekwa wakijuwa kuwa atafika mapema. Cha ajabu nini? kachelewa akasimama kuwasalimia.

Leta huo unaosema ni mkutano ujionee.
ff unafiki ni dhambi kubwa sana kwa muislam
 
Ma OCD wengi wa leo walikuwa mahousi boy enzi hizo kwa akina mahita ..nina mfano halisi andengenye alikuwa house boy kwa kamishna shomvi akaja kumuingiza jeshini baada ya kutmikia uhausi boi vyema
 
ff unafiki ni dhambi kubwa sana kwa muislam

Ndugu yetu mpenzi Faiza Foxy...napenda kuamini kwamba wewe unakubali hakuna binadamu aliyekamilika.Magufuli alisema sasa unaweza endesha bajaji toka Mtwara mpaka Bukoba kwa kuwa barabara ni ya lami.Prof.Mbarawa na Makamba jr wakasema mawasiliano nchi nzima yanapatikana.Unataka kutuaminisha walishindwa kuwasiliana kuwa watachelewa na waondoe hilo jukwaa kwani mkutano wa usiku hauruhusiwi.

Faiza nikuombe tu ukubali hapo kuna kosa la kibinaadamu lilifanyika.Analysts wa matukio kadha wa kadha wako wengi...ya Chadema ya ccm ya cuf ya ukawa na speeches mbalimbali za viongozi...ie Ndani ya bunge..naibu waziri anamwambia mbunge wa upinzani hajui hesabu kwa sababu hakwenda shule anasahau chamani kwake kuna wabunge pia hawakwenda shule na kubwa zaidi katiba anayoitumia inaruhusu na aliyoshiriki kuitunga na kuioendekeza ina ruhusu....hapo which is what.
 
Stage si iliwekwa wakijuwa kuwa atafika mapema. Cha ajabu nini? kachelewa akasimama kuwasalimia.

Leta huo unaosema ni mkutano ujionee.

Ulipoanzishwa huo utaratibu iliwekwa "exceptional clause"????
 
Sasa hapo mjinga mimi au wewe?

Upo ufipa unamlipa Mzee Mtei kodi kubwa kila mwaka, mimi nna jengo jipya Dodoma. Nani mjinga?
onyesha hilo jengo jipya,au unamaanisha ofisi mpya za majizi ya mali ya umma ccm!!???halafu mjengo mpya na mtei vinahusiana nini na mada hii we mfia dini?
 
onyesha hilo jengo jipya,au unamaanisha ofisi mpya za majizi ya mali ya umma ccm!!???halafu mjengo mpya na mtei vinahusiana nini na mada hii we mfia dini?

Wana convention centre kipande hiyo
 
Ndugu yetu mpenzi Faiza Foxy...napenda kuamini kwamba wewe unakubali hakuna binadamu aliyekamilika.Magufuli alisema sasa unaweza endesha bajaji toka Mtwara mpaka Bukoba kwa kuwa barabara ni ya lami.Prof.Mbarawa na Makamba jr wakasema mawasiliano nchi nzima yanapatikana.Unataka kutuaminisha walishindwa kuwasiliana kuwa watachelewa na waondoe hilo jukwaa kwani mkutano wa usiku hauruhusiwi.

Faiza nikuombe tu ukubali hapo kuna kosa la kibinaadamu lilifanyika.Analysts wa matukio kadha wa kadha wako wengi...ya Chadema ya ccm ya cuf ya ukawa na speeches mbalimbali za viongozi...ie Ndani ya bunge..naibu waziri anamwambia mbunge wa upinzani hajui hesabu kwa sababu hakwenda shule anasahau chamani kwake kuna wabunge pia hawakwenda shule na kubwa zaidi katiba anayoitumia inaruhusu na aliyoshiriki kuitunga na kuioendekeza ina ruhusu....hapo which is what.
samahani ndugu mimi sio faiza f
 
Back
Top Bottom