Sijajua ni kwa nini unapata utamu sana mtu akifanya kinyume na utaratibu.Kinana kakosa nini hadi akamatwe?
OCD wote elimu zao ni std. Macommission elimu zao za kuunga kova form four alipata zero.. Unategemea inteligencia hapo
Mbona Kinana hakamatwi???
Kinana kakosa nini hadi akamatwe?
OCD wote elimu zao ni std. Macommission elimu zao za kuunga kova form four alipata zero.. Unategemea inteligencia hapo
Hii mada imenikumbusha yule OCD aliyetwangwa makofi na mgombea wa magamba. Hii nchi ina vituko sana
Poti nipo majukumu tu yanakuwa mengi, kwema lakini?.....poti upo long time sana
Poti nipo majukumu tu yanakuwa mengi, kwema lakini?