nkongu ndasu
JF-Expert Member
- Jan 19, 2013
- 22,532
- 6,628
polis wanatumika na ccm. juzi kinana kafanya mkutano wa hadhara mpaka saa 4 usiku lakini polis wanaangalia tu. sembuse salum kuzidisha masaa 2 tu. nimeamini ccm ni chama dola kinabebwa na vyombo vya dola. chadema toeni kauli mara moja juu ya uonevu huu.