Marekani serikali kuu ikibadilika inabadilika kweli, Rais mpya anakuja na watu wake wapya wa kusimamia sera na ushauri.Viongozi hawaridhiki
Huwezi kulinganisha chawa na binadamu. Kikwete anaogopa madhambi yake yasifichuke. Baada ya huyu, hatatokea Rais hovyo kama yeye.Viongozi wa Africa mna shida gani?
Kwanini hamtaki kustaafu
Hapo hajaweka CV za mkewe na mwanawe
Watoto wa Obama wala hawapo kwenye nafasi za kiserikali kama hawa huku
View attachment 3549120
Mbona obama amejiita president? Au inawasha ikiwa kwa mmatumbi tu?Viongozi wa Africa mna shida gani?
Kwanini hamtaki kustaafu
Hapo hajaweka CV za mkewe na mwanawe
Watoto wa Obama wala hawapo kwenye nafasi za kiserikali kama hawa huku
View attachment 3549120
Kuna chawa anaitwa Marco RubioHuwezi kulinganisha chawa na binadamu. Kikwete anaogopa madhambi yake yasifichuke. Baada ya huyu, hatatokea Rais hovyo kama yeye.
Msaidizi wake alipitiwa akaacha kuandika “Daktari”!Viongozi wa Africa mna shida gani?
Kwanini hamtaki kustaafu
Hapo hajaweka CV za mkewe na mwanawe
Watoto wa Obama wala hawapo kwenye nafasi za kiserikali kama hawa huku
View attachment 3549120
Kenya wapo rais wa 5Unalinganisha Taifa lenye Rais wa 44 na sisi ndio kwanza tupo Rais wa 6.
Q
Kuna mafisadi zaidi ya wanasiasa wa Kenya?Kenya wapo rais wa 5