Obama visit in Kenya

Obama visit in Kenya

Hivi siku 3 ambazo hao wakenya hawatafanyakazi wanapoteza kiasigani cha mapato na huyo Obama atawaingizia kiasigani cha mapato kitakacho cover hiyo hasara?.
 
No Comment's. Ila kuhusisha kanisa ktk hili, ni upotoshaji. Jamani wakati mwengine, tujadilini tu yanayohusu mada husika, itapendeza sana.
 
Wivu anakaa masaa 8, tena anakuja kutoa kimasomaso.

We nyang'au umesahaau Rais wa kwanza kutoka Afrika kualikwa White House na Obama alikuwa ni nani? Umesahau alikuja Tanzania aka spend how many days? umesahau Tanzania imeweka record ya dunia kuwakutanisha Marais wanne wa USA kwa wakati mmoja nje ya USA? Jikumbushe:


Acha kujipa sifa za kijinga
 
The US NASA will ensure that the world above the earth which is controlled by USA willl control kenya space and entire africa space using the NASA satelites which are on the Moon, the mars,etc.

Hawajawahi fika kwenye mwezi sembuse kuweka satellite, Mars kwenyewe hamna mtu aliyewahi fika ni vyombo vya kisayansi tuu ndio vinaletaga habari za kusadikika
 
Habari ya kufika mwezini ilitengenezwa tuu
 
Mkuu #kitali , ww ndo upo mbali fatilia vizuri utapata jawabu..hii ilidhihirishwa na watu makini wengine waliohusika, katika reference zako kama utafatilia usisahau documentary moja inaitwa 'did we land on the Moon'
 
Back
Top Bottom