Obama visit in Kenya

Obama visit in Kenya

Alshaab nao watakuwa wamepani sana,lazima watakuwa wanajiandaa sana
 
Nilikuwepo wakati wa Nyerere na nnakumbuka sana alipokuja huyo Myahudi 1976 na hakuna kitu kama hicho kilitokea.

AlhamduliLlahi Nnajuwa mengi sana kuliko unavyofikiria lakini siyajuwi yote, na kila siku, saa, dakika nnajifunza mengine.

Kazi ya nini? Salat na kujitayrisha kwake haichukuwi zaidi ya dakika kumi na iko kwa nyakati zake, mara 5 kwa kila masaa 24, its a total of less then an hour for every 24 hours.

Kwa kuwa umeniuliza saa zipi; Ni linapochomoza jua (Alfajiri), kwenye ncha mbili za mchana (Adhuhuri na Alasiri), Linapozama jua (Magharibi) ma unapokuwa usiku (Isha).

Jee, una lingine zaidi?

Umewahi kusikia kuwa Wayahudi weupe wanawaharibu kizazi kwa makusudi kabisa (sterilize) Wayahudi weusi huko Israel ili wasizaliane zaidi? Na kutokana hilo idadi ya Wayahudi weusi imepunguwa kwa asilimia 20.

Ni unyama wa hali ya juu, soma zaidi: Israel Forcibly Injected African Immigrants with Birth Control, Report Claims - Forbes

cc Ishmael
Chuki zako kwa Wahayudi hukuanza wewe bali hata Allah wako anaye dai kuwa ni Muumbaji, amejaa hizo chuki kwa Wayahudi na Waafrika par seh. In fact, ni vigumu sana kuona Waarabu weusi ingawa Waarabu ndio walikuwa Mstari wa mbele katika biashara ya Utumwa.
british-with-slave-trader.jpg

British colonial official with Islamic slave traders in Zanzibar. On the far right is Hamad bin Mohamed bin Jumah bin Rajab bin Mohamed bin Said al-Murghabi, more commonly known as Tippu Tip. He was the most notorious Islamic slaver. al-Murghabi died in 1905.

Zaidi ya hapo, kuna mabaya mengi sana yalifanywa na hao unao waabudu katika biashara haram ya viumbe


Is there anything good in Islam? Can you mention one good thing done by your religion? I bet not.

See this link. Black Jews Gain Wider Acceptance - News â€" Forward.com
 
Last edited by a moderator:
Nilikuwepo wakati wa Nyerere na nnakumbuka sana alipokuja huyo Myahudi 1976 na hakuna kitu kama hicho kilitokea.

AlhamduliLlahi Nnajuwa mengi sana kuliko unavyofikiria lakini siyajuwi yote, na kila siku, saa, dakika nnajifunza mengine.

Kazi ya nini? Salat na kujitayrisha kwake haichukuwi zaidi ya dakika kumi na iko kwa nyakati zake, mara 5 kwa kila masaa 24, its a total of less then an hour for every 24 hours.

Kwa kuwa umeniuliza saa zipi; Ni linapochomoza jua (Alfajiri), kwenye ncha mbili za mchana (Adhuhuri na Alasiri), Linapozama jua (Magharibi) ma unapokuwa usiku (Isha).

Jee, una lingine zaidi?

Umewahi kusikia kuwa Wayahudi weupe wanawaharibu kizazi kwa makusudi kabisa (sterilize) Wayahudi weusi huko Israel ili wasizaliane zaidi? Na kutokana hilo idadi ya Wayahudi weusi imepunguwa kwa asilimia 20.

Ni unyama wa hali ya juu, soma zaidi: Israel Forcibly Injected African Immigrants with Birth Control, Report Claims - Forbes

cc Ishmael
cc Nonda
Chuki zako kwa Wahayudi hukuanza wewe bali hata Allah wako anaye dai kuwa ni Muumbaji, amejaa hizo chuki kwa Wayahudi na Waafrika par seh. In fact, ni vigumu sana kuona Waarabu weusi ingawa Waarabu ndio walikuwa Mstari wa mebeke katika biashara ya Utumwa.
british-with-slave-trader.jpg

British colonial official with Islamic slave traders in Zanzibar. On the far right is Hamad bin Mohamed bin Jumah bin Rajab bin Mohamed bin Said al-Murghabi, more commonly known as Tippu Tip. He was the most notorious Islamic slaver. al-Murghabi died in 1905.

Zaidi ya hapo, kuna mabaya mengi sana yalifanywa na hao unao waabudu katika biashara haram ya viumbe


Is there anything good in Islam? Can you mention one good thing done by your religion? I bet not.

See this link. Black Jews Gain Wider Acceptance - News – Forward.com
 
Last edited by a moderator:
cc Nonda
Chuki zako kwa Wahayudi hukuanza wewe bali hata Allah wako anaye dai kuwa ni Muumbaji, amejaa hizo chuki kwa Wayahudi na Waafrika par seh. In fact, ni vigumu sana kuona Waarabu weusi ingawa Waarabu ndio walikuwa Mstari wa mebeke katika biashara ya Utumwa.
british-with-slave-trader.jpg

British colonial official with Islamic slave traders in Zanzibar. On the far right is Hamad bin Mohamed bin Jumah bin Rajab bin Mohamed bin Said al-Murghabi, more commonly known as Tippu Tip. He was the most notorious Islamic slaver. al-Murghabi died in 1905.

Zaidi ya hapo, kuna mabaya mengi sana yalifanywa na hao unao waabudu katika biashara haram ya viumbe


Is there anything good in Islam? Can you mention one good thing done by your religion? I bet not.

See this link. Black Jews Gain Wider Acceptance - News – Forward.com



One good thing done by Paulo was to tell the zombies that a human being is God incarnate. What about that?

:becky:
 
Last edited by a moderator:
Mkuu #kitali , ww ndo upo mbali fatilia vizuri utapata jawabu..hii ilidhihirishwa na watu makini wengine waliohusika, katika reference zako kama utafatilia usisahau documentary moja inaitwa 'did we land on the Moon'

Tajiri mdogo wa South Africa shuttle wealth miaka iliyopita alikua huko mwezini ww unataka kusema nn? Tunaona ajali za vyombo ivyo na watu ndani? Leo hii 2015 unaongea kitu kama icho kweli?
 
Alshaab nao watakuwa wamepani sana,lazima watakuwa wanajiandaa sana

Alqaida ndio waliwasumbua wama rekani..alshabab hawawezi na hawatadhubutu kufanya chochote,john kely anaenda iraq,siria,afghanistan sehem zote hatarishi ulinzi upo juu sana.
 
kutembea au kupita njia? ujinga tu, baba yake kazaliwa hapo na yeye ana haki ya kuomba uraia wakenya lakini ati masaa 8 tu...bora asije zogo la kazi gani.
Bibi yake juzi alienda hija labda hataki kwenda kijijini kwao ..infiriority complex...ina muhangaisha
obm.jpg obmm.jpg
 
kutembea au kupita njia? ujinga tu, baba yake kazaliwa hapo na yeye ana haki ya kuomba uraia wakenya lakini ati masaa 8 tu...bora asije zogo la kazi gani.
Bibi yake juzi alienda hija labda hataki kwenda kijijini kwao ..infiriority complex...ina muhangaisha
View attachment 250351View attachment 250352

Ratiba hapangi yy,mlidhani akiwa rais kwa kuwa ana chembe chembe za ukenya basi kila siku kenya? Kwa ss analitumikia Taifa la marekani, wenzenu walipomuona ana akili sana walimuweka ktk basket yao ya watu makini ny ny mlimdharau leo mnalalamika. Ametumwa na taifa lao kufanya kazi ya wamarekani na si wakenya.
 
Back
Top Bottom