Wivu tu umekujaa, wewe tengeza Shilingi yako kwanza, inasua sua. Oresident Obama Kenya ni Nyumbani, let me remind you on that.Wivu anakaa masaa 8, tena anakuja kutoa kimasomaso.
We nyang'au umesahaau Rais wa kwanza kutoka Afrika kualikwa White House na Obama alikuwa ni nani? Umesahau alikuja Tanzania aka spend how many days? umesahau Tanzania imeweka record ya dunia kuwakutanisha Marais wanne wa USA kwa wakati mmoja nje ya USA? Jikumbushe:
![]()
Kwa hiyo Hakutakwepo na nchi inaitwa Kenya ila kutakuwa na Marekani dah kama unyanyapaa fulani
Wivu tu umekujaa, wewe tengeza Shilingi yako kwanza, inasua sua. Oresident Obama Kenya ni Nyumbani, let me remind you on that.
Mwache Kiongozi wa Dunia aje Nyumbani. Wivu mapema hii.
Umechelewa sana, shillingi toka jana imeanza kupanda kwa kasi kubwa sana, what about you in Kenya?
Shilingi ya tanganyika au?inapandaje labda?Naona bado unaota
Rudi kalale
Jana ilikuwa 1983. Subiri wiki ijayo...Juzi ilikuwa 1996
Kiboko yao Mwalimu, nasikia Henry Kissinger wakati huo Foreign Sec alitia mguu Bongo na kama kawaida ya manjonjo ya Marekani alikuja na gari yake ya kumtembeza akiwa Bongo. Hii gari inadaiwa ilitakiwa itolewe haraka kabla hajafika. Mwalimu akatia ngumu anakuja na nyumba yake pia? Akajibiwa ni gari tu na vifaa vingine. Kwa jeuri ya Mwalimu akauliza tena kwani aliambiwa huku hatuna magari? Basi akasema atapanda magari haya haya tunayopanda sisi au arudi kwao. Basi gari haikutolewa bandarini na njemba ikapanda gari ya Ikulu. Chezeya Mwalimu weye!! RIP Baba wa Taifa.
Uongo huo.
hivi wewe unafanya kazi, kuswali, etc. saa zipi? halafu kila kitu unajua kuliko wenzako?!
Umewahi kusikia kuwa Wayahudi weupe wanawaharibu kizazi kwa makusudi kabisa (sterilize) Wayahudi weusi huko Israel ili wasizaliane zaidi? Na kutokana hilo idadi ya Wayahudi weusi imepunguwa kwa asilimia 20.
Ni unyama wa hali ya juu, soma zaidi: Israel Forcibly Injected African Immigrants with Birth Control, Report Claims - Forbes
Duh .. waarabu wenu waliwafanyia waafrika ukatili mkubwa zaidi ya huu miaka ile ya utumwa. ... maana waliwahasi kwa visu kama ng'ombe