Huyo ndie aliyesababisha libya kuwa kama ilivyosasa kwa propaganda zao za ajabu, ila hope ipo siku watakuja kulipa kwa waliyoyafanya ndani ya africaHuyu ni mzungu mwenye rangi nyeusi, history haitamsahau kua yeye ndie muasisi wa Arab spring protest iliyopelekea machafuko nchi zinazozungukwa na jangwa LA Sahara Libya, Syria, nk. kweli kikulacho ki nguoni mwako
Alishiriki tu lakini sio muasisi, Libya iliangushwa na France chini ya uongozi wa Nicolas sarkozy. Libya ilikua na mpango wa kuleta pesa ya dhahabu ambayo ingetumika na 14 francophone countries na kuitoa hela Yao chini ya uongozi wa France tukio ambalo lingefanya France ifilisike na kua masikini .ili France ibaki kwenye orodha ya mataifa yenye nguvu na tajiri duniani ilikua waje na mbinu ya arabu spring ili waweze kumuondoa Gaddafi.Huyu ni mzungu mwenye rangi nyeusi, history haitamsahau kua yeye ndie muasisi wa Arab spring protest iliyopelekea machafuko nchi zinazozungukwa na jangwa LA Sahara Libya, Syria, nk. kweli kikulacho ki nguoni mwako
Tabia zao wakitoka madarakani!
Ninafikiri ameamua kuwa human badala ya Kenyan.
Huyo ndie aliyesababisha libya kuwa kama ilivyosasa kwa propaganda zao za ajabu, ila hope ipo siku watakuja kulipa kwa waliyoyafanya ndani ya africa
Huyu ni mzungu mwenye rangi nyeusi, history haitamsahau kua yeye ndie muasisi wa Arab spring protest iliyopelekea machafuko nchi zinazozungukwa na jangwa LA Sahara Libya, Syria, nk. kweli kikulacho ki nguoni mwako
Mtanzania amejua Obama juzi anataka kutufunza kumhusu.. Kweli Tz imejaa Bongolala. Obama is the son of sir Obama and his native home is K'ogalo Siaya County Kenya. He's been with us even before anybody knew who he was.Huyu ni mzungu mwenye rangi nyeusi, history haitamsahau kua yeye ndie muasisi wa Arab spring protest iliyopelekea machafuko nchi zinazozungukwa na jangwa LA Sahara Libya, Syria, nk. kweli kikulacho ki nguoni mwako
Bro,, Wakenya sio wanyonge au watembeza bakuli au omba omba jinsi ilivyo desturi ya wabongoduni.huyu mtu wakati yuko madarakani hakuwasaidia chochote wakenya lakini wakenya bado wanajipendekeza kwake
Mbona mnalazimisha awe muafrica?? Huyo ni mmarekani na itabaki hivyo daima
Huwezi ukajua,alisaidia Sana wakenya haswa upande wa visa, ilikua easy as 1,2,3 ukipata visa unaishi US for five years ndio urenew ilihali hapo mbeleni ilikua one year.huyu mtu wakati yuko madarakani hakuwasaidia chochote wakenya lakini wakenya bado wanajipendekeza kwake
Huyu ni mzungu mwenye rangi nyeusi, history haitamsahau kua yeye ndie muasisi wa Arab spring protest iliyopelekea machafuko nchi zinazozungukwa na jangwa LA Sahara Libya, Syria, nk. kweli kikulacho ki nguoni mwako
Masikio makubwa kama ya babake. Barrack Hussein Obama Snr kutoka K'Ogello, Siaya. Ndio biologia hiyo.Obama ana masikio makubwa Nashangaa wakenya wanafikiri eti ni mkinya wakati ameishi Kenya kwa siku zisizopungua 5 toka azaliwe
Mtanzania amejua Obama juzi anataka kutufunza kumhusu.. Kweli Tz imejaa Bongolala. Obama is the son of sir Obama and his native home is K'ogalo Siaya County Kenya. He's been with us even before anybody knew who he was.View attachment 1233220View attachment 1233221View attachment 1233223
Hahaha ningekushangaa saaana kama usingeleta hizi pictures mbili, sababu ndio hizo tu zipo kuonesha Obama ni Mkenya, tuletee picture akivua omena ndio tutajua kweli hili jaluoMtanzania amejua Obama juzi anataka kutufunza kumhusu.. Kweli Tz imejaa Bongolala. Obama is the son of sir Obama and his native home is K'ogalo Siaya County Kenya. He's been with us even before anybody knew who he was.View attachment 1233220View attachment 1233221View attachment 1233223
Hahaha nikimuona nakumbuka mbali sanaMasikio makubwa kama ya babake. Barrack Hussein Obama Snr kutoka K'Ogello, Siaya. Ndio biologia hiyo.