My fellow East Africans, Kenya, Get rid of your primitive tribalism

El Roi

JF-Expert Member
May 29, 2020
263
502
I love Kenya and I sincerely admit that, my attachment to Kenya in various aspects has been of great positive impact in my life. However, the said attachment has had exposed me into enlightenment concerning Kenya so to speak.

I have been recently keen to Kenyan politics. However, on the contrary to what I thought before, the ways of doing politics to the majority Kenyans are so pathetic, leaving alone other ways (discussion of the other day), primitive tribalism is the most killer element of all.

Tribalism in other parts of the world, even here as I write, can only be refered to for purposes community, such as, discussion on developments in the said localities, where these tribesmen come from. We also can call on tribal gatherings for matters local rituals, contributions for social activities and things with the local face.

Surprisingly, opposite to what I would have expected, I have seen Kenyans explicitly talking and bragging in a public domain concerning their tribes on matters national.

It is not even a big deal to hear a Kenyan utter sentences, like, Zamu hii ni Zamu yetu ( referring his/ her tribe people to get in power, have a certain position in the government or any parastatal appointments).

Now, tell me, in this era where people are thinking of universality, how come that, we still have people who always run into their tribal outfits in line with propagating primitive tribalism.

Let matters tribal, remain ancestral and local beliefs keeper and not a priority over our our national common good and also national interests.

You are one as Kenyans and you only have one country, Kenya. Therefore embracing tribal coucoons is purely for your own destruction.

May you shun off from being tribalistic and above all, don't embrace such primitivity.

Bless you!
 
It's only about politics and politicians use the tribal card to divide and rule.
Tribalism in Kenya is everything and everywhere, in education system, Employment, remember 75% of employees in public sectors are Kikuyu and Kalenjins.
 
But when you kill each other as the result of your toxic tribalism, you ask for us to come to mediate you, and your people are crossing border to Tanzania.
Next time we ask you, don't come. Worry about yourself, thank you.
 
picha inayojengwa huko nje haziendani n uhalisia kabisaaaaa. sijakataa wakenya wanapenda kivitukuza viluga vyao, ila hawana chembechembe yeyote ya ubaguzi baina yao. wanaishi vizuri tu, hamna ugomvi wala fyokofyoko, maisha burdaaaaaan yenye vibe la kwenda. tatito lipo kwa viongozi wao, wote huyatumia makabila yao kama njia kuu ya kupata kura. mfano, raila mhimili wake ni wajaluo n wakisii, uhuru wakikuyu n ruto ni wakalenjin. hata hivyo, katika uchaguzi uliopita tumeshuhudia picha tofauti. wakenya walikataa kuchagua viongozi kutokana na ukabila, ila waliwachagua kutokana wakizingatia ni nani ndio atawafaa. so personally ninafikiria wakenya ndio nchi pekeake africa inayotukuza viluga vyao vya asilia bila ya kuwabagua wengine wa makabila tofauti. hamna vita ya makabila, zilizopo ni baina ya maharamia n wanajeshi, wafugaji n wakulima, wezi wa mifugo nk. huu uzungu ni ushenzi tu. mimi ni mnyaturu ila sikijui wala mamaangu hakijui, identity yetu ishapotea. nimesomea n bado ninasoma kenya, asilimia almost 90% ya marafiki zangu wanavijua vilugha vyao vya mama. wao kwa wao wanaongea kilugha, wakiwa na wengine wa makabila tofauti, lugha ya mawasiliano ni either kiswahili au english tukizingatia wa kishua. so personally i think wadhungu wamefanikiwa sana kwenye kutupotezea tamaduni zetu. hiviii, mnafikiria tanzania ingekuwa ndio marekani na marekani ndio ndio tanzania, mnafikia wazungu wasingejifunza kipogoro ndio wapate mpunga??? tuache upuuzi, wakenya ni watu unique sana, vibe lau ni lao tu, kidooogo wachuga ndio wanaendana nao. kama yupo yeyote aliyewahi kutata fursa ya kuishi nao, basi anaweza kutestify nilichowaeleza. kama nimedanganya chochote ninaomba nikosolewe. we should uphold our culture, it is who we are. neglecting it n upholding global culture is insanity of the next level, upuuzi pro max. kwani kunashida watoto kufundishwa kwa lugha za mama katika level za vidudu n chekechea?? tunapoteza utamaduni kirahisi sana, uzembe uliotukuka
 
picha inayojengwa huko nje haziendani n uhalisia kabisaaaaa. sijakataa wakenya wanapenda kivitukuza viluga vyao, ila hawana chembechembe yeyote ya ubaguzi baina yao. wanaishi vizuri tu, hamna ugomvi wala fyokofyoko, maisha burdaaaaaan yenye vibe la kwenda. tatito lipo kwa viongozi wao, wote huyatumia makabila yao kama njia kuu ya kupata kura. mfano, raila mhimili wake ni wajaluo n wakisii, uhuru wakikuyu n ruto ni wakalenjin. hata hivyo, katika uchaguzi uliopita tumeshuhudia picha tofauti. wakenya walikataa kuchagua viongozi kutokana na ukabila, ila waliwachagua kutokana wakizingatia ni nani ndio atawafaa. so personally ninafikiria wakenya ndio nchi pekeake africa inayotukuza viluga vyao vya asilia bila ya kuwabagua wengine wa makabila tofauti. hamna vita ya makabila, zilizopo ni baina ya maharamia n wanajeshi, wafugaji n wakulima, wezi wa mifugo nk. huu uzungu ni ushenzi tu. mimi ni mnyaturu ila sikijui wala mamaangu hakijui, identity yetu ishapotea. nimesomea n bado ninasoma kenya, asilimia almost 90% ya marafiki zangu wanavijua vilugha vyao vya mama. wao kwa wao wanaongea kilugha, wakiwa na wengine wa makabila tofauti, lugha ya mawasiliano ni either kiswahili au english tukizingatia wa kishua. so personally i think wadhungu wamefanikiwa sana kwenye kutupotezea tamaduni zetu. hiviii, mnafikiria tanzania ingekuwa ndio marekani na marekani ndio ndio tanzania, mnafikia wazungu wasingejifunza kipogoro ndio wapate mpunga??? tuache upuuzi, wakenya ni watu unique sana, vibe lau ni lao tu, kidooogo wachuga ndio wanaendana nao. kama yupo yeyote aliyewahi kutata fursa ya kuishi nao, basi anaweza kutestify nilichowaeleza. kama nimedanganya chochote ninaomba nikosolewe. we should uphold our culture, it is who we are. neglecting it n upholding global culture is insanity of the next level, upuuzi pro max. kwani kunashida watoto kufundishwa kwa lugha za mama katika level za vidudu n chekechea?? tunapoteza utamaduni kirahisi sana, uzembe uliotukuka
Asa wewe unatulaumu sisi kwa kutokukujua kinyaturu....
Umekulia kenya, umesoma kenya. Hicho kinyaturu ulitaka ukijulie wapi?
 
picha inayojengwa huko nje haziendani n uhalisia kabisaaaaa. sijakataa wakenya wanapenda kivitukuza viluga vyao, ila hawana chembechembe yeyote ya ubaguzi baina yao. wanaishi vizuri tu, hamna ugomvi wala fyokofyoko, maisha burdaaaaaan yenye vibe la kwenda. tatito lipo kwa viongozi wao, wote huyatumia makabila yao kama njia kuu ya kupata kura. mfano, raila mhimili wake ni wajaluo n wakisii, uhuru wakikuyu n ruto ni wakalenjin. hata hivyo, katika uchaguzi uliopita tumeshuhudia picha tofauti. wakenya walikataa kuchagua viongozi kutokana na ukabila, ila waliwachagua kutokana wakizingatia ni nani ndio atawafaa. so personally ninafikiria wakenya ndio nchi pekeake africa inayotukuza viluga vyao vya asilia bila ya kuwabagua wengine wa makabila tofauti. hamna vita ya makabila, zilizopo ni baina ya maharamia n wanajeshi, wafugaji n wakulima, wezi wa mifugo nk. huu uzungu ni ushenzi tu. mimi ni mnyaturu ila sikijui wala mamaangu hakijui, identity yetu ishapotea. nimesomea n bado ninasoma kenya, asilimia almost 90% ya marafiki zangu wanavijua vilugha vyao vya mama. wao kwa wao wanaongea kilugha, wakiwa na wengine wa makabila tofauti, lugha ya mawasiliano ni either kiswahili au english tukizingatia wa kishua. so personally i think wadhungu wamefanikiwa sana kwenye kutupotezea tamaduni zetu. hiviii, mnafikiria tanzania ingekuwa ndio marekani na marekani ndio ndio tanzania, mnafikia wazungu wasingejifunza kipogoro ndio wapate mpunga??? tuache upuuzi, wakenya ni watu unique sana, vibe lau ni lao tu, kidooogo wachuga ndio wanaendana nao. kama yupo yeyote aliyewahi kutata fursa ya kuishi nao, basi anaweza kutestify nilichowaeleza. kama nimedanganya chochote ninaomba nikosolewe. we should uphold our culture, it is who we are. neglecting it n upholding global culture is insanity of the next level, upuuzi pro max. kwani kunashida watoto kufundishwa kwa lugha za mama katika level za vidudu n chekechea?? tunapoteza utamaduni kirahisi sana, uzembe uliotukuka

Wewe huijui Kenya vizuri. Huko ukabila ndio sifa yao kuu. Niliwahi kwenda sehemu moja inaitwa Embu miaka ya tisini, walinishangaa Sana , Yani Mimi sio muembu nimefata Nini huko?.
 
Back
Top Bottom