sidhani kama Obama amezaliwa Kenya, na hata hivyo wamerekani wasingekubali kumpa urais kama kazaliwa nje ya nchi. Hizi ni siasa lazima wachafuane na kuuaminisha umma kuwa hakuzaliwa US.
Kila nikifuatilia hii issue ya wapi alizaliwa Obama huwa
nashangazwa mno na mambo meengi..
1.kwanza inawezekana mtu kuidanganya Marekani nzima na
mashirika yake ya upelelezi?
2.pili kama jibu ni hapana na alizaliwa Marekani kwa nini watu wenye heshima zao
kama Donald Trump hawakubali kuamini?
3.mbona hili suala haliishi?
saa juzi kuna mtu anadai cheti cha Obama ni feki....na kina social security ya mtu mwingine..
yaani hili jambo linanishangaza hadi basi
nyinyi mnaonaje??
Obama alizaliwa Marekani period...Hizi ni propaganda zinaanza tena kupoteza mwelekeo wa Wamarekani baada ya kugundua Republicans wana chance ndogo sana ya kushinda uchaguzi baada ya kugundua waliemchagua ni bomu...Mitt Romney hawezai kushindana na Obama sasa hivi upeo wao umepishana sana. Romney anajicontradict kwa kila jambo. Donald Trump ana chuki binafsi
Kila nikifuatilia hii issue ya wapi alizaliwa Obama huwa
nashangazwa mno na mambo meengi..
1.kwanza inawezekana mtu kuidanganya Marekani nzima na
mashirika yake ya upelelezi?
2.pili kama jibu ni hapana na alizaliwa Marekani kwa nini watu wenye heshima zao
kama Donald Trump hawakubali kuamini?
3.mbona hili suala haliishi?
saa juzi kuna mtu anadai cheti cha Obama ni feki....na kina social security ya mtu mwingine..
yaani hili jambo linanishangaza hadi basi
nyinyi mnaonaje??
Obama alizaliwa Marekani period...Hizi ni propaganda zinaanza tena kupoteza mwelekeo wa Wamarekani baada ya kugundua Republicans wana chance ndogo sana ya kushinda uchaguzi baada ya kugundua waliemchagua ni bomu...Mitt Romney hawezai kushindana na Obama sasa hivi upeo wao umepishana sana. Romney anajicontradict kwa kila jambo. Donald Trump ana chuki binafsi
Unatumia kanuni ipi Mheshimiwa?:A S 39:Kuhusu utaratibu Mh speaker....
Kuhusu utaratibu Mh speaker....
................. Ungetaraji kuwa uamuzi huo wa busara wa Obama ungemnyamazisha Trump. Lakini katika kile kinachotafsiriwa kama kutapatapa, licha ya kujimwagia sifa kuwa "amempelekesha" Obama hadi akaamua kuthibitisha uraia wake, tajiri huyo mwingi wa vituko ameibuka na madai mengine mapya kuhusu elimu ya Rais huyo wa Marekani.
Trump anadai kuwa ana mashaka jinsi Obama alivyomudu kujiunga (na hatimaye kuhitimu) vyuo vikuu vyenye hadhi kubwa vya Columbia na Shule ya Sheria ya Harvard (Harvard Law School). Tajiri huyo anadai kuwa "vyanzo" vyake vimemfahamisha kwamba Obama alikuwa "kilaza" (mwanafunzi asiye na uwezo kitaaluma) na haingewezekana kujiunga na vyuo hivyo vinavyofahamika kama Ivy League kutokana na ubora wake wa hali ya juu kitaaluma.
Madai haya mapya ya Trump yamepelekea baadhi ya watu kumtuhumu kuwa ni mbaguzi wa rangi.Hoja yao inaelemea kwenye tafsiri kuwa tajiri huyo anaamini kuwa Wamarekani Weusi (kama Obama) hawana uwezo wa kitaaluma kustahili kujiunga na vyuo vyenye hadhi ya juu.
Republicans mwaka huu wamekuwa wachovu mno matokeo yake wanaishia kutapatapa na siasa za kitoto kiasi hiki...
Kwa mtaji huu Obama anashinda kiulaini sana come November 2012.