Obama ni by stander president ,hataki responsibilities na Hajui Kitu chochote kinachoendelea Kwenye administration yake ( au anajua ila anasikumia Watu wengine ) .Sasa hivi uongozi wake upo matatani sana .Health care law ( Obama care) imegundulika alidanganya Watu sasa wanapoteza insurance zao ,NSA Obama imegundulika Mpaka Pope Rome Italy na UN wanasikiliza simu zao ( sasa atakuwa mgeni aw Nani ?) .IRS Watu kibao hawajapata tax refund Yaani kutwaa ni Watu kujifanyia wanachotaka kisa Obama is a cool president .Obana Watu Woote wanaomfanyia kazi ni marafiki na ideology tuu .600 million dollar kwa ajili ya website isiyofanya kazi ( boss we kampuni ya kutengeneza website ni rafiki mkubwa wa Michelle ) .Kwa nini haswa Obama hawezi ongoza .Kila Kitu anajibu Hajui