warusi ni wataalamu wa mchezo wa chess kumbuka.Obama look so weak Mpaka Putin anampelekesha.Mara Leo kasema hili Mara sijasema .
Nataka niamini ule usemi wa mtu mweusi ni mweusi tu amezoea kutawaliwa kifkra hata kama ana position gani hana maamuzi solid. Obama amedhihirisha hilo na kimsingi ameudhi wengi.!!!!
kama ulikua hufuatilii issue ni kwamba wamarekani 4 kati ya 10,ndo waliunga mkono obama kushambulia syria,hiyo ni poll iliyofanywa jana mchana na CNN, Wajumbe wa congress wengi walikua against mashambulizi hadi wameamua kusogeza mbele upiga kura ili kumuepushia obama aibu ya kushindwa vote kama ilivyotokea kwa cameron.Nataka niamini ule usemi wa mtu mweusi ni mweusi tu amezoea kutawaliwa kifkra hata kama ana position gani hana maamuzi solid. Obama amedhihirisha hilo na kimsingi ameudhi wengi.!!!!
ukweli ni kuwa obama alikua anatafuta a way out of that crisis without loosing face.Putin yupo Syria, USA akiichapa Syria maana ake amemchapa Putin na akimchapa Putin, Putin anazaa na Israel.
kama ulikua hufuatilii issue ni kwamba wamarekani 4 kati ya 10,ndo waliunga mkono obama kushambulia syria,hiyo ni poll iliyofanywa jana mchana na CNN, Wajumbe wa congress wengi walikua against mashambulizi hadi wameamua kusogeza mbele upiga kura ili kumuepushia obama aibu ya kushindwa vote kama ilivyotokea kwa cameron.
Sasa kama wamarekani,waingereza na hadi pope wanapinga hiyo vita,wewe mmanyema ndo umeshupalia,you must have a problem somewhere.
namuunga mkono obama kwa dunia ya leo kupigana vita na ushamba na ujinga uliopitiliza
Mbona Nyerere Alipiga Idi Amin.Obama anasema hili,John Kerry lille,Hillary nae hivi .Message iwe moja na clear .Hii ni personal Kati ya putin na Obama .inanihusu vipi well stock is way up tangia vita itangazwe we are gaining money watch stocks tomorrow .Unakumbuka RED LINEkama ulikua hufuatilii issue ni kwamba wamarekani 4 kati ya 10,ndo waliunga mkono obama kushambulia syria,hiyo ni poll iliyofanywa jana mchana na CNN, Wajumbe wa congress wengi walikua against mashambulizi hadi wameamua kusogeza mbele upiga kura ili kumuepushia obama aibu ya kushindwa vote kama ilivyotokea kwa cameron.
Sasa kama wamarekani,waingereza na hadi pope wanapinga hiyo vita,wewe mmanyema ndo umeshupalia,you must have a problem somewhere.
Syria anatakiwa kukabidhi siraha zote za sumu...ni wazo zuri inamaana akikataa hakutakua na mjadala tena atapigwa..