Nimemuona President Obama kama vile kaanza kuota mvi, mawazo mengi.
Pia nimemuona Dr. Kikwete amenawiri zaidi
Nashauri Raisi Obama aje aongoze Tanzania kwa mwaka tu na JK aende US kwa mwaka.
Nani atafaidi, wamarekani au Watanzania?
Hivi kweli haiwezekani maraisi wakabadilishana?
Pia nimemuona Dr. Kikwete amenawiri zaidi
Nashauri Raisi Obama aje aongoze Tanzania kwa mwaka tu na JK aende US kwa mwaka.
Nani atafaidi, wamarekani au Watanzania?
Hivi kweli haiwezekani maraisi wakabadilishana?