PakaJimmy
JF-Expert Member
- Apr 29, 2009
- 16,202
- 8,783
- Thread starter
- #21
Huo ujio lazima utajwe sana kwenye list ya mambo yaliyofanywa na Serikali ya awamu ya nne. Sitashangaa hilo poa likitajwa kama miongoni mwa ahadi za JK alizozikamilisha.
These opportunists bana...!
Kila kitu sasa kinakuwa mtaji for mission 2010!
Huu ndo wakati mzuri wa kusanua maskendo ya vigogo, maana watajitahidi kuyashughulikia fasta ili wajioshe...huh!
Ma'trafffic wa Iringa wamekuwa 'scapegoats!