Oa mwanamke mwenye elimu

Mtoa mada nakukumbusha!! kuwa na elimu ni jambo moja, kutumia akili kupitia elimu uliyonayo ni jambo lingine nakusanua wanawake wengi wana elimu ila akili zao ndio tatizo. kama unatafuta mke usimpime kwa elimu aliyonayo mpime pia na akili yake.
 
mie nna wa la7..nilikua na mentality ya kua hao ndo wives materials ila wenye elimu watanisumbua....ninachokutana nacho I regret kwakweli..
 
Sasa kwanini kasema form 4? Kipimo Cha akili ni nini?

Mmaasai anayejua kufuga ila hajui kulima ana akili au lah?
bina damu ni kama komputer mpya ambayo una kuta ina ram tu ambayo ndo uwezo wa komputer hiyo na memory ambayo haina kitu,utakachofanya baada ya kuinunua utaongeza ,muvi,sizon kwenye memory yake. hivyo unazaliwa ukiwa na akili au talanta ,elimu ni vitu vya nyongeza tu kwako
 
Naimagine watoto wakichukua hii akili ya mama mimi😀shule mikarai tupu🤣🏃‍♀️
 
Form four saivi ni universal utakutana nakichwa 0 km, kinawaza movie tu......Nilikoseaga nikapiga mimba design kama hao najutaaaaa.Nashukru nilipiga come back nikaoa Mwenye jiwe mtoto smart sana kichwaniiiii.....Hadi Mitoto walimu wanapata tabu walivyo intellectual.
 
Darasa la 7 atakulogaa tu,maana hawezii just bad and good na akapata njia sahihi ya kusolve problems.Dawaa sanaaa!
 
uko sawa kabisa baba
 
Mwamba ameiamini sana Elimu dunia sasa sijui mama ndo mwalimu wa shule wa mtoto, Sikia me sipingi kuoa msomi ila Tabia is more important Wapo wanawake waliosoma kuzidi hata hiyo form four ila tabia zao ni bora upige nyeto au usubiri marobort ya Elon Musk ujiridhishe ulale kuliko uzae na those type bitches.
 

Mleta Uzi kapuyanga kuweka form 4 kama kipimo cha akili.
 
Nimeona wanawake walioishia la saba wakifanya mambo ya ajabu kwenye ndoa, nimeona wanawake wenye elimu wakiwa miba kwenye ndoa..sisupport any side na sipingani na any side. Kama mwanaume humuhitaji muumba kukuonyesha tabia halisi ya mwanamke unaetaka kumuoa....kalaghabao!

Iko ivi, marriage without heavenly support its very hard. Kama haukubaliani na hili ni sawa. Lakini hili ndilo ninaloliamini. Elimu ya mwanamke ni muhimu kuwa considered lakini sio kigezo kikuu. Mwanamke anayemcha Mungu ndiye atakaesifiwa. Anaweza awe hajasoma, lakini akawa ana akili ya maisha, hofu ya Mungu. Namna anavyopresent jambo mpaka unawiwa kumsomesha ili aweze kupambana na hii industrious world.

Kuna wengine tunasema akili atatumia za kwetu, lakini kuna ukomo. Unahitaji msaidizi asie na akili?? Hata kama ni kubaki nyumbani mnafikiri nyumbani panahitaji mtu asie na akili. Kuiendesha nyumba ikae sawa siku zote si kitu cha mchezo. Kazi za nyumbani zinahitaji maarifa pia. Kwahiyo miradi yako utaisimamia mwenyewe?? Ufugaji wa kuku, matuta ya mboga, mradi wowote wa kumuwezesha mke akiwa nyumbani unahitaji akili vilevile. Anyways kila mtu anajua anachokipenda. Your life, your choice.
 
Wengine tumezaliwa na wamama ambao hawakusoma hata darasa moja lakini wametukuza na tumefika mbali sana na tunawashukuru wametufikisha kwenye mafanikio.

Sijui unamaanisha nini unaposema atakavokuwa mke ndio atakavokuwa mtoto??

Sent from my SM-T285 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…