Oa au olewa na Mzanzibar ili mtoto wenu awe na hadhi + uwanja mpana wa kufanikiwa (Zanzibar citizenship privilege)

Tatukana mtu hapa bure Apo cha maana ni ajira tu so ajira tu ndo initese hivyo na tunajua fika wazanzibari wengi hawana vichwa
Nani kasema ni ajira tu, Viongozi wengi tu wa sehemu nyeti kama bungeni, ikulu, mahakamani, ma rpc, vyeo vizito jwtz, taasisi za uwekezaji, n.k wapo wazanzibari wa kutosha.... mbona huongelei hili?

Unavyosema hawana vichwa huna utofauti na wale wanaosema Zanzibar ni kamkoa tu bila kujua kwamba wao ndio wananufaika zaidi kuzidi kundi lolote hapa nchini,
 
Ni kuharibu mbegu, hawa ni wavivu na legelege sana halafu wanaabudu sana uarabu na utwana
Ndiyo Ukweli Wenyewe
Yaani Mimi Nitoke Kyerwa, Nkwenda, Omurushaka, Kayanga, Kyaka, Misenyi, Bukoba,
Nakwenda Zanzibar Kutafuta Ponjoro
 
Wafahamishe mkuu Zanzibar got big advantage even outside the borders
Outside the borders (nje uya mipaka) hapo mara kadhaa ni bora kubaki tu hapa hapa kwetu kuliko kwenda huko.

Kuna wazenji ninawajua walinipa story za kwenda huko nchi za Oman kwajili ya kazi, yani yanayoendelea huko kuna vipigo na unyanyasaji wa hali ya juu sana maana kuna mabosi bado wana fikra za zamani kwamba watu kutoka Zanzibar bado ni kama watumwa, na wao wanajiona bado ni ma sultani wao wa kuwatumikisha kama ilivyokuwa zamani kwenye mashamba ya mikarafuu, kuna mabosi wamevurugwa aisee, kwanza ukifika tu wanakufichia passport yako, yaani utanyoka tu.
 
Acha chuki mkuu.... kuna mema mengi tu, hata kwenye biashara wana connections nyingi tu kuanzia kina bakhresa na wafanya biashara kibao matajiri wa kipemba. Hapo bado kuna nafasi kibao za uongozi sina hata haja ya kuzielezea maaana mifano ipo wazi
We tupige kazi bhana achana na mambo ya apologies at ningekua mzbr kwa wazanzibari wanamaisha gani uvivu tu na fikira potovu
 
Mshua unaonekana unapenda sana mtelezo eh?
Mafanikio yoyote yanakuja kwa kufanya kazi kwa bidii na juhudi na sio kutegemea kuolewa/kuoa mzungu au mchina.
Pambana achana na hayo mawazo
 
Upuuzi tu yahkhee mpe mtoto elimu nzuri mtaji ajiajiri Mambo ya kuajiriwa Ni utumwa
 
Umesahau kuwa wazanzibar wana connection na warabu hivyo wanapata sapoti scholarship, ndoa ,kazi, ,uraia wa urabuni na hata kusaidiwa mitaji sio kama sisi wabara hatuna connection yoyote ya kimataifa tunajipambanua wenyewe.

pisi kali nyingi Zanzibar hua zinaolewa uarabuni,

Napia vijana wanaoa sana wa mama over 40 wakutoka Oman na UAE
 
pisi kali nyingi Zanzibar hua zinaolewa uarabuni,

Napia vijana wanaoa sana wa mama over 40 wakutoka Oman na UAE
Haina ubishi kwa zanzibar, mwarabu huwa ana hadhi kama ya mfalme hivi, yani mtu akioa au kuolewa na mwarabu ni kama muujiza hivi, kiukweli kuna tatizo kubwa sana la kutukuza waarabu.

Mbaya zaidi, hao waarabu wengi (sizungumzii waarabu koko) hata wao kwa wao tu wanabaguana koo za kuoa au kuolewa, hata waarabu wa hapo Zanzibar ili uoe binti yao labda uwe muarabu (sio muarabu koko) au kama ni chini ya hapo basi uwe tajiri sana ama uwe na madaraka makubwa sana serikalini, hivi hivi ni ngumu sana.

Hao wamama wengi wa Oman wenye zaidi ya miaka 40 wanakuwa wamekosa soko ila kwa vile mwanamke wa kiarabu hata akichuja huko kwao bado ana soko kubwa kwa wazanzibar, basi inabidi ajishushe tu kuolewa hivyo hivyo tu na Mzanzibar.
 
Hili nimeliona lakini sio "sana" kama ulivyolikuza hapa.

Kuhusu muarabu wa oman au uae kuoa mzenji labda awe mzenji ambae ni muarabu pure, ikitkea vingine basi ni nadra, hii hutokana na tofauti zetu na wao hao waarabu o.g. yaani akioa huku huyo dada yenu muhesabie amehama na kila kitu.

Kwa upandewa wazenji kuoa wanawake wa Oman hii ndio ngumu zaidi ya waarabu kuwaoa mabinti wa zenji, Kwa huko oman na uae yaani hata wao kwa wao tu wanabaguana sana kwenye kuoana, ndio iwe mzanzibar :p ?? hapana aisee waarabu linapokuja swala la ndoa huwa wapo strict sana, hata warabu wa hapo zenji hadi aolewe na mzanzibar ambae hana asili ya uarabu inakuwa ngumu sana, haya mambo siyaongei kwa kuropoka, nayajua kabisa.

Hii kitu ni serious sana kwa waarabu, jamaa wanabagua sana aisee

mkuu umepita pembeni kidogo, wadada wa over 40's uarabuni hua hawana soko kiivo, mbona vijana wengi waki zenj wanatisua kuoa wamama watu wazima. Na jengine kuna wa zenj wengi wana uraia kabisa Oman na UAE, wengi wenye asili ya kiarabu.
 
mkuu umepita pembeni kidogo, wadada wa over 40's uarabuni hua hawana soko kiivo, mbona vijana wengi waki zenj wanatisua kuoa wamama watu wazima. Na jengine kuna wa zenj wengi wana uraia kabisa Oman na UAE, wengi wenye asili ya kiarabu.
Tatizo la zanzibar, mwarabu huwa ana hadhi kama ya mfalme hivi, yani mtu akioa au kuolewa na mwarabu ni kama muujiza hivi, kiukweli kuna tatizo kubwa sana la kutukuza waarabu.

Hao wamama wengi wa Oman wenye zaidi ya miaka 40 wanakuwa wamekosa soko ila kwa vile mwanamke wa kiarabu hata akichuja huko kwao bado ana soko kubwa kwa wazanzibar, basi inabidi ajishushe tu kuolewa hivyo hivyo tu na Mzanzibar.
 
Kwa
Zanzibar ndio jamii pekee inayotoa rais wa Tanzania kila mara. Kabila lolote Tanzania bara likitoa Rais.. lijue kabisa halitajirudia kutoa Rais tenaaa.. ila wa Zanzibar wanajirudia rudia tu kupata U rais wa Tanzania kila baada ya awamu kazaa
Kwani Zanzibar imegeuka kabila ,unapoandika jamii ni sawa tu na tukisema jamii ya Tanganyika ndio inayotoa raisi mara nyingi, kwanza Zanzibar wametoa raisi mara moja,huyu mwingine kaja baada ya kifo cha raisi aliyepigiwa kura kufariki, na kwa taarifa yako Mwinyi ambae ndie ''katoka'' Zanzibar kwao ni bara ni Mzaramo, sasa hao kutoka Zanzibar wa kila mara sijui ni wapi hebu tutajie tuwafahamu na makabila yao.
 
Back
Top Bottom