O/D OFF icon in Automatic cars

O/D OFF icon in Automatic cars

Kingdom

Member
Joined
May 28, 2010
Posts
39
Reaction score
13
Salaam zenu wana jamvi,
Naomba kwa wenye uzoefu na ujuzi wa kuendesha magari ya automatic wanisaidie kujua maana ya maandishi yanayowaka kwenye dash board yanayosomeka O/D OFF. Ni wakati gani maandishi haya yanatakiwa yawe yanawaka (active)? kwenye spidi kubwa au ndogo? Naomba wenye maujuzi wanielimishe hapa.
:israel:
 
kuna uzi humu jf umefafanua hilo kirefu. Ila kifupi,weka OD iwe on muda WOTE. Weka OD off pale tu unapopanda mwinuko au mlima mkali au unapotembea polepole huku ukiwa unatumia gia kubwa.
 
Nashukuru kwa maelezo hayo, nitautafuta huo uzi kwa ufahamu zaidi
 
Overdrive is the final gear of that gearbox. Simply when u see that O/D OFF it means your maximum speed it below the final drive. For instance if your car is 5speed gearbox automatic transmission, it means when the O/D OFF light is on then you will drive up to 4th gear. The theory is true if your car is a 6speed gearbox or 4speed gearbox O/D(Final drive minus one "FD - 1")

You can use it just like in manual transmission gearbox when you are in higher range(In this case the final drive)gear and you want to boost your speed for more acceleration during overtaking or going uphill just depress the O/D button.

Just like Swat said above, keep that button pressed throughout your drive but depress when you what a boost and then press it again to avoid inappropiate fuel consumption
 
Overdrive is the final gear of that gearbox. Simply when u see that O/D OFF it means your maximum speed it below the final drive. For instance if your car is 5speed gearbox automatic transmission, it means when the O/D OFF light is on then you will drive up to 4th gear. The theory is true if your car is a 6speed gearbox or 4speed gearbox O/D(Final drive minus one "FD - 1")

You can use it just like in manual transmission gearbox when you are in higher range(In this case the final drive)gear and you want to boost your speed for more acceleration during overtaking or going uphill just depress the O/D button.

Just like Swat said above, keep that button pressed throughout your drive but depress when you what a boost and then press it again to avoid inappropiate fuel consumption
Very well put..
 
Various remarks from another topic similar to this posted 2011 April 27th

Kwa kawaida magari yanatumia gear nne, overdrive inaweza kuwa ya 5, au kwa magari mengine 6. Overdrive ikiwa off ina maana kuwa gari litakwenda kwa kutumia gear 4 tu. Overdrive inatumika mara nyingi ukiwa kwenye mwendo mkali kwa mfano kwenye highways. Ukiwa mjini mara nyingi mtu unatumia mpaka gear ya 4 tu. Hakikisha ukiwa kwenye highway, button ya overdrive iwe 'on'.
OD inatakiwa kuwa on(button pressed) katika hali ya kawaida ila ukihitaji ku-cruise power zaidi ndo unadisengage..normaly the dashboard indicator should be off
No matter upo H/way or on town,You can engage/press and keep OD down throughout the time,wala haina taabu coz AUTO Vehicles ni self controlled as you acceralate!
Ikiwa hujapress OD down pale ktk gear selector,utaona neno "OFF" kwenye dashoard. Ukigandamiza OD button,basi OFF inaishia na utakuwa unaendesha gari yako ktk OD mode!
Magari mengi ya automatic gear from 2000 hayana hii kitu........ni old technology

Overdrive is a term used to describe a mechanism that allows an automobile to cruise at sustained speed with reduced engine speed, leading to better fuel consumption, lower noise and lower wear. Use of the term is confused, as it is applied to several different, but related, meanings.

The most fundamental meaning is that of an overall gear ratio between engine and wheels, such that the car is now over-geared and can no longer reach its potential top speed, i.e. the car could travel faster if it were in a lower gear, with the engine turning more quickly. The purpose of such a gear may not be immediately obvious. The power produced by an engine increases with the engine's speed to a maximum, then falls away. The point of maximum power is somewhat slower than the absolute maximum speed to which the engine is limited, the "redline" speed. A car's speed is limited by the power available to drive it against air resistance-so the maximum possible speed is obtained at the engine's point of maximum power, or power peak, and the gear ratio necessary to achieve this will be the single ratio between these two speeds.

As the power needed increases dramatically at high speeds, most cars will be capable of achieving a fast cruising speed slightly less than their maximum, but with far less power being required. This power is available well below the engine's power peak and so the ideal cruising gear is an overdrive gear, a ratio higher than that for absolute top speed.

With the early development of cars and the almost universal rear-wheel drive layout, the final drive (i.e. rear axle) ratio for fast cars was chosen to give the ratio for maximum speed. The gearbox was designed so that, for efficiency, the fastest ratio would be a 'direct-drive' or 'straight-through' 1:1 ratio, avoiding frictional losses in the gears. Achieving an overdriven ratio for cruising thus required a gearbox ratio even higher than this, i.e. the gearbox output shaft rotating faster than the original engine speed. The propeller shaft linking gearbox and rear axle is thus overdriven, and a transmission capable of doing this became termed an "overdrive" transmission.

The device for achieving an overdrive transmission was usually a small separate gearbox, attached to the rear of the main gearbox and controlled by its own shift lever.These were often an optional extra on some models of the same car.As popular cars became faster relative to legal limits and fuel costs became more important, particularly after the 1973 oil crisis, the use of 5-speed gearboxes became more common in mass-market cars. These had a direct fourth speed with an overdrive top gear, replacing the need for the separate overdrive gearbox.

With the popularity of front wheel drive cars, the separate gearbox and final drive have merged into a single transaxle. There is no longer a propeller shaft and so one meaning of "overdrive" can no longer be applied. However the fundamental meaning, that of an overall ratio higher than the ratio for maximum speed, still applies. Although the deliberate labelling of an overdrive is now rare, the underlying feature is now found across all cars.


Tusitake kuwa mainjinia wa magari, ni kwamba kwenye mizunguko ya kawaida weka overdrive on, isipokua kwenye vilima vikali! Tena inasaidia kupunguza fuel consumption.
General
Nadhani ile indication ya "overdrive" Huwa inawasumbua watu wengi Kuielewa!! Kwa Kawaida kama ile taa Haiwaki, Normal condition ndio Inakuwa gari Kialisia ipo kwenye Overdrive!! Na ukiwasha button ya overdrive inakuja message inasema "overdrive off!!" Means muda huo hauko kwenye overdrive na taa inakuwa inaonyesha kwenye Dashboard!! Na always kwenye dashboard kukiwa na any lighting ikiwa "on" hii inamaanisha something is not Normal!!

Overdrive
Overdrive maana yake ni kuwa katika uendeshaji wa gari unakuwa umeruhusu kwenye Mwendo fulani (Say 100km/hr and above) mzunguko wa Engine Unakuwa mdogo kuliko Mzunguko wa Gearbox!! Ikimaanisha mzunguko mmoja wa engine ni sawa na mizunguko miwili ya Gearbox (Mfano). kwa kawaida gari ikianza kuacellarate (Mwendo) Huwa mzunguko wa Engine ni Mkubwa kuliko Mzunguko wa Gearbox, na inapofika gear no 4 (Vehicle speed) Engine speed inakuwa sawa na Gearbox speed!! Then kama gari inakuwa kwenye Overdrive Then Unaweza kuaccelarate hadi gear namba 5 na 6 ambazo hizi ni overspeed!! Kumaanisha mzunguko wa Gearbox ni mkubwa kuliko mzunguko wa Engine!! - Note Engine is the source of Motion so you are over the speed of Engine!!

Overdrive "off"
Hii inamaanisha imeilazimisha gari yako iende hadi Gear no 4 bila kuiruhusu gear no 5 na 6 (Kwa baadhi ya Magari) Hivyo kitendo hicho kinafanya gari kutoa mlio Mkali kwani Unapokuwa kwenye gear no 4 na mwendo wa 120km/h unakuwa unailazimisha engine kuzunguka sana na Hivyo unaweza kuwa na revolution ya up to 4.5 rpm to 5 rpm hence more consumption of fuel hence more energy!!!

Remarks on Overdrive "off"

Hii inashauriwa Kutumiwa kama kuna sehemu unahitaji kulipa gari Nguvu Kubwa kwa kipindi Kifupi i.e Kama Kupanda Mlima Kitonga kwa speed Kubwa na si vinginevyo!!
 
Salaam zenu wana jamvi,
Naomba kwa wenye uzoefu na ujuzi wa kuendesha magari ya automatic wanisaidie kujua maana ya maandishi yanayowaka kwenye dash board yanayosomeka O/D OFF. Ni wakati gani maandishi haya yanatakiwa yawe yanawaka (active)? kwenye spidi kubwa au ndogo? Naomba wenye maujuzi wanielimishe hapa.
:israel:

Hiyo ni Overdrive wakati unapanda mlima unaweka OD na inakuwa off muda wote unatumia pia wakati kuna mchanga mwingi au matope ina maana inaipa nguvu zaidi gari
 
Various remarks from another topic similar to this posted 2011 April 27th

Hekimatele na wote ambao umewaquote, na wote waliochangia mada hii nawashukuru sana kwa sababu nimeelewa na naweza waeleza wengine ambao wanahitaji kujua jambo hili. Kweli JF ni "think tank"!!
 
Hiyo ni Overdrive wakati unapanda mlima unaweka OD na inakuwa off muda wote unatumia pia wakati kuna mchanga mwingi au matope ina maana inaipa nguvu zaidi gari

Hello picchu, si lazima uzime O/D ukiwa kwenye matope au michanga. Just shift ur lever to L au 2 hapo u will limit ur gears to low au first gear au second gear kama ni 2.

Muda mwingine unaweza kuona very steep hill and tires are slipping u cn limit ur gears to L or 2 to make it crawl depend on ur load capacity or surface terrain if the vehicle failed to go uphill
 
Hekimatele na wote ambao umewaquote, na wote waliochangia mada hii nawashukuru sana kwa sababu nimeelewa na naweza waeleza wengine ambao wanahitaji kujua jambo hili. Kweli JF ni "think tank"!!

Kingdom First hii unayozungumzia ni ile ya

  1. Matthew 13:24-25
[ The Parable of the Wheat and the Tares ] Another parable He put forth to them, saying: "The kingdom of heaven is like a man who sowed good seed in his field;

  1. Matthew 13:30-32
[ The Parable of the Mustard Seed ] Another parable He put forth to them, saying: "The kingdom of heaven is like a mustard seed, which a man took and sowed in his field,

  1. Matthew 13:32-34
[ The Parable of the Leaven ] Another parable He spoke to them: "The kingdom of heaven is like leaven, which a woman took and hid in three measures of meal till it was all leavened."

  1. Matthew 13:44
[ The Parable of the Hidden Treasure ] "Again, the kingdom of heaven is like treasure hidden in a field, which a man found and hid; and for joy over it he goes and sells all that he has and buys that field.

  1. Matthew 13:45
[ The Parable of the Pearl of Great Price ] "Again, the kingdom of heaven is like a merchant seeking beautiful pearls,

  1. Matthew 13:47
[ The Parable of the Dragnet ] "Again, the kingdom of heaven is like a dragnet that was cast into the sea and gathered some of every kind,

  1. Matthew 13:52
Then He said to them, "Therefore every scribe instructed concerning the kingdom of heaven is like a householder who brings out of his treasure things new and old."

  1. Matthew 18:23
Therefore the kingdom of heaven is like a certain king who wanted to settle accounts with his servants.

  1. Matthew 20:1
[ The Parable of the Workers in the Vineyard ] "For the kingdom of heaven is like a landowner who went out early in the morning to hire laborers for his vineyard.

  1. Matthew 22:2
"The kingdom of heaven is like a certain king who arranged a marriage for his son,

  1. Matthew 25:14
[ The Parable of the Talents ] "For the kingdom of heaven is like a man traveling to a far country, who called his own servants and delivered his goods to them.
 
I liked "The Parable of the Mustard Seed" , secrete of victory in life!
 
dah,safi sana wachangiaji.mie pia hii kitu imekuwa ikinichanganya mno.ahsanteni kwa elimu.
 
Back
Top Bottom