Auz
JF-Expert Member
- Apr 6, 2016
- 13,240
- 10,970
Mtaalamu wa saikoloji huyo, kamsoma mteja wake kaona hana tatizo lolote la msingi ndio kampa wazo hilo na mwenyewe kaona limemfaa. Kuna watu hasa wazee wanaopenda kunywa dawa wakati wote, na hulalamika kuwa wanaumwa, hata ukimpa maji kwa kijiko na kumwambia ni dawa atakuambia dawa imemsaidia.