Balqior
JF-Expert Member
- Jun 8, 2021
- 1,709
- 5,699
Humu jf kuna watu story zao ni zaidi ya movie,
Uzi wa kwanza ni WA huyu jamaa anajiita analyse, title ya Uzi inasema sijivunii mama wa mtoto wangu, jamaa alipigwa na dingi yake kabari sababu ya kuzalisha jimama, jamaa alipigwa kabari hadi akajinyea,๐๐๐ alivoachiliwa akajisemea kichwani akiruhusu dingi yake ampige tena kabari atakunya tena๐๐๐
Uzi mwingine ni WA huyu jamaa namuita Mzee wa U-turn sikumbuki title ya Uzi jamaa alimtongoza mdada co worker, sasa kwenye dates mdada anachagua viwanja kama seacliff, siku wamepanga waende wakalane mdada akaomba wapitie mlimani city jamaa kujihami kumpa mdada elf 40, mdada akamwambia asiwe na haraka, jamaa kwenye shopping alipata mshtuko alivoona dada anachukua kopo la nido la elf 45, pasi, etc jamaa anasema alitokwa na jasho pamoja na ac Kali iliomo kule ndani, jamaa alizima simu akapiga u turn akakimbia, yule mdada๐, kuja kuwasha simu ni sms za matusi za uyo mdada
Uzi Mwingine date ya kwanza mdada alimpeka jamaa kempisiki, wakati jamaa bajet yake mfukoni elf 80, jamaa anasema alihisi tumbo la kuhara baada ya kuona vinywaji tu ni laki Bado msosi, wakati mfukoni ana elf 80 tu, hahaha kumpigia simu rafiki yake aokoe jahazi, rafiki kuja pale ndo kwanza kamuumbua jamaa mbele ya demu kwa kusema siku zote wanagonga bia baa za vichochoroni huko kafata nini๐๐kamaa
Uzi mwingine jamaa alikodi teksi toka korogwe Hadi dar kwenda kumpiga jamaa mlokole aliokuwa anagegeda mke wake ๐
Uzi mwingine mtu alichukua mwanamke kulala nae lodge half kwenye begi kulikuwa na million 5 za kampuni, kufika asubuhi mdada hayupo na million 5 hazipo, anasema alienda chooni alivofika alikojoa bila kulenga tundu, huku akijamba kwa pupa sababu ya uoga๐๐๐๐๐
Long live jf ๐๐๐
Uzi wa kwanza ni WA huyu jamaa anajiita analyse, title ya Uzi inasema sijivunii mama wa mtoto wangu, jamaa alipigwa na dingi yake kabari sababu ya kuzalisha jimama, jamaa alipigwa kabari hadi akajinyea,๐๐๐ alivoachiliwa akajisemea kichwani akiruhusu dingi yake ampige tena kabari atakunya tena๐๐๐
Uzi mwingine ni WA huyu jamaa namuita Mzee wa U-turn sikumbuki title ya Uzi jamaa alimtongoza mdada co worker, sasa kwenye dates mdada anachagua viwanja kama seacliff, siku wamepanga waende wakalane mdada akaomba wapitie mlimani city jamaa kujihami kumpa mdada elf 40, mdada akamwambia asiwe na haraka, jamaa kwenye shopping alipata mshtuko alivoona dada anachukua kopo la nido la elf 45, pasi, etc jamaa anasema alitokwa na jasho pamoja na ac Kali iliomo kule ndani, jamaa alizima simu akapiga u turn akakimbia, yule mdada๐, kuja kuwasha simu ni sms za matusi za uyo mdada
Uzi Mwingine date ya kwanza mdada alimpeka jamaa kempisiki, wakati jamaa bajet yake mfukoni elf 80, jamaa anasema alihisi tumbo la kuhara baada ya kuona vinywaji tu ni laki Bado msosi, wakati mfukoni ana elf 80 tu, hahaha kumpigia simu rafiki yake aokoe jahazi, rafiki kuja pale ndo kwanza kamuumbua jamaa mbele ya demu kwa kusema siku zote wanagonga bia baa za vichochoroni huko kafata nini๐๐kamaa
Uzi mwingine jamaa alikodi teksi toka korogwe Hadi dar kwenda kumpiga jamaa mlokole aliokuwa anagegeda mke wake ๐
Uzi mwingine mtu alichukua mwanamke kulala nae lodge half kwenye begi kulikuwa na million 5 za kampuni, kufika asubuhi mdada hayupo na million 5 hazipo, anasema alienda chooni alivofika alikojoa bila kulenga tundu, huku akijamba kwa pupa sababu ya uoga๐๐๐๐๐
Long live jf ๐๐๐