Somaiyo
Member
- Jul 1, 2022
- 92
- 176
Nyumba mbili zinauzwa Sengerema Mjini Mwanza, zote ni nyumba zenye vyumba vitatu na sebule, jiko, dining na master bedroom moja ambayo ni selfu!
Nyumba Moja imekamilika, nyingime haijakamilika, kama inavyoonekana kwenye picha
Zote zina mfumo uliokamilka wa maji taka,!
Maji na umeme vipo!!
Nyumba ya kwanza ni m25 na nyingine ni m13..!!
Zipo eneo moja ambalo linaweza kuwa viwanja viwili tofautii
Panafaa kwa lodge, apartments, na kadri mnunuzi atakavyopenda
Unaweza kuchukua moja au zote kwa pamoja
Aksante
Nyumba Moja imekamilika, nyingime haijakamilika, kama inavyoonekana kwenye picha
Zote zina mfumo uliokamilka wa maji taka,!
Maji na umeme vipo!!
Nyumba ya kwanza ni m25 na nyingine ni m13..!!
Zipo eneo moja ambalo linaweza kuwa viwanja viwili tofautii
Panafaa kwa lodge, apartments, na kadri mnunuzi atakavyopenda
Unaweza kuchukua moja au zote kwa pamoja
Aksante