Aslay ni zaidi ya wasafi. Period
DIAMOND ANA MASHABIKI GANI NIGERIA?Aslay ni zaidi ya wasafii!!! Mara anahitaji promo!!! Tuache Kum overrated... Dogo bado sana... Mashabk wa Africa Mashark hajakamata sembuse Africa.. Kwel Nigeria ana mashabk???
aslay ana kipaji zaidi ya diamond.yule dogo namshauri ruge amchukue . akienda wasafi kipaji chake kitazimwa maana hakuna anaemfikia pale.yule dogo ni brand yeye mwenyewe anaitaji promo tu ya kutosha wasafi sio hadhi yake.aslay ni zaidi ya wasafi
Mmeanza kudanganyana, au wewe ni timu tembo? Hivi Darasa yuko wapii? Pumzi vipi? Dogo ni mzuri, Yes. Ila sio zaid ya wasafi. Ukumbuke wasafi sio Simba peke yake. ....ni zaidi ya unachokiona wewe.aslay ana kipaji zaidi ya diamond.yule dogo namshauri ruge amchukue . akienda wasafi kipaji chake kitazimwa maana hakuna anaemfikia pale.yule dogo ni brand yeye mwenyewe anaitaji promo tu ya kutosha wasafi sio hadhi yake.aslay ni zaidi ya wasafi
yule mtoto ana kipaji sana.wasafi kwa waswahili hakuna kituMmeanza kudanganyana, au wewe ni timu tembo? Hivi Darasa yuko wapii? Pumzi vipi? Dogo ni mzuri, Yes. Ila sio zaid ya wasafi. Ukumbuke wasafi sio Simba peke yake. ....ni zaidi ya unachokiona wewe.
Elewa watu wanachoandika humu.brand wcb inaweza kuwa mlezi kwa tusiyemjua kama ulovyojitolea mfano wewe,lakini si kwa mwenye jina tayari,wapi rich mavoko????.Dogo aslay hawezi kuwa chini ya leble yoyote hapa nchini sababu analo jina kubwa kuliko leble yoyote.Kuna vitu ambavyo wabongo lazima tubadilike na hii mitazamo ya utimu na kutafakari kwa bashasha kidogo...
Aslay angeenda wasafi ndo ingekuwa mahali pekee kwayeye kukua kimziki....dogo ana kipaji cha kipekee...lakini kuwa na kipaji tu haitoshi...unahitaji back up kubwa sana illi uweze kutoboa...
Kwani wangapi wana kipaji kama Aslay na wana miaka kibao kwenye gemu lakini bado wanasota tuu??
Halafu wangapi hawana hata vipaji (tena Aslay amewapita mbali sana kwa kipaji) lakini kwakuwa wapo WCB wao ndo wana mafanikio makubwa sana Bongo na hata Afrika wanasikika sikika??
Kubali,kataa,bisha,andamana, WCb ndo sehemu pekee kwasasa hapa bongo ambapo hata mimi nisiejua kuimba chochote na nikaenda pale basi wakiamua kunisupport lazima nitaonekana tu na nitatoboa kibongobongo.
Alooo usimfananishe 'Mario' na huyo falla oohoo hapana fella, Mario alipigi hella kifala falla kama anavyo fanya fella!Fella kama "Suge Knight"
we umepanikiaslay ana kipaji zaidi ya diamond.yule dogo namshauri ruge amchukue . akienda wasafi kipaji chake kitazimwa maana hakuna anaemfikia pale.yule dogo ni brand yeye mwenyewe anaitaji promo tu ya kutosha wasafi sio hadhi yake.aslay ni zaidi ya wasafi
rock star siyo international lebel..kuweni na akili nyie..ni sawa mm na wewe tukafungue kampuni kenya then ije ifanye kaz tanzania..hakuna international paleHapo keshazulumiwa.
Asley asimame meenyewe anaweza. Au akasain international label rock star
Ruge nae Mwizi tu..wakina Ray C walifika wapiRuge mchukue kijana huyo mfanye nae kazi naamini atafika mbali sana
Mh, Aisee. Maisha hayako hivo lakin. Music ni maishaaslay ana kipaji zaidi ya diamond.yule dogo namshauri ruge amchukue . akienda wasafi kipaji chake kitazimwa maana hakuna anaemfikia pale.yule dogo ni brand yeye mwenyewe anaitaji promo tu ya kutosha wasafi sio hadhi yake.aslay ni zaidi ya wasafi
aslay ana kipaji zaidi ya diamond.yule dogo namshauri ruge amchukue . akienda wasafi kipaji chake kitazimwa maana hakuna anaemfikia pale.yule dogo ni brand yeye mwenyewe anaitaji promo tu ya kutosha wasafi sio hadhi yake.aslay ni zaidi ya wasafi
kichwa kikishndwa kufikiri.ni mzigo kwa mwiliDIAMOND ANA MASHABIKI GANI NIGERIA?
like young money cashmoney....selling souls for fame......Mmeanza kudanganyana, au wewe ni timu tembo? Hivi Darasa yuko wapii? Pumzi vipi? Dogo ni mzuri, Yes. Ila sio zaid ya wasafi. Ukumbuke wasafi sio Simba peke yake. ....ni zaidi ya unachokiona wewe.