yuleMskinny
JF-Expert Member
- Sep 22, 2017
- 242
- 136
Mtazame hapa diva The boss lady akitokwa na mapovu huko mtandaoni
wewe humtakii mema huyu mzee, kwa Mange tena?Hakuna mdau wa mziki ambae simpendi kama Mkumbwa Fella...jamaa ni mwizi wa haki za wasanii.Anadhani Bongo Fleva ni yake.Juzi juzi hapa Beka Flavour alisema waliondoka Ya Moto wakiwa hawana kitu.Pesa yao yote eti ilitumika kujenga jamaa alkua anawapa tu "pocket money".Imagine hustle ya madogo af eti na nyumba zenyewe wamenyanganywa...duhh.Huyu mtu tumpeleke kwa Mange Kimambi
Mtazame hapa diva The boss lady akitokwa na mapovu huko mtandaoni
Sahihi wanafanana sema tu suge knight alikuwa anawafanyia murder ukiznguaFella kama "Suge Knight"
Na wote ni maharamia!Sahihi wanafanana sema tu suge knight alikuwa anawafanyia murder ukizngua
Hakuna mdau wa mziki ambae simpendi kama Mkumbwa Fella...jamaa ni mwizi wa haki za wasanii.Anadhani Bongo Fleva ni yake.Juzi juzi hapa Beka Flavour alisema waliondoka Ya Moto wakiwa hawana kitu.Pesa yao yote eti ilitumika kujenga jamaa alkua anawapa tu "pocket money".Imagine hustle ya madogo af eti na nyumba zenyewe wamenyanganywa...duhh.Huyu mtu tumpeleke kwa Mange Kimambi
Tatz sio kipaji. Tatzo nyota. Mondi ni habari nyingine wewe, btw sisapoti Aslay kwenda wasafi wala lebo yoyote apa bongo. Dogo akomae mwenyew tu soon Afrika itamuelewa kama Management yake itakuwa makiniaslay ana kipaji zaidi ya diamond.yule dogo namshauri ruge amchukue . akienda wasafi kipaji chake kitazimwa maana hakuna anaemfikia pale.yule dogo ni brand yeye mwenyewe anaitaji promo tu ya kutosha wasafi sio hadhi yake.aslay ni zaidi ya wasafi
Management yake mkubwa fella lazima badamu batamwagika wewe.!!Tatz sio kipaji. Tatzo nyota. Mondi ni habari nyingine wewe, btw sisapoti Aslay kwenda wasafi wala lebo yoyote apa bongo. Dogo akomae mwenyew tu soon Afrika itamuelewa kama Management yake itakuwa makini
Aslay ni zaidi ya wasafi. Periodaslay ana kipaji zaidi ya diamond.yule dogo namshauri ruge amchukue . akienda wasafi kipaji chake kitazimwa maana hakuna anaemfikia pale.yule dogo ni brand yeye mwenyewe anaitaji promo tu ya kutosha wasafi sio hadhi yake.aslay ni zaidi ya wasafi
Aslay ni zaidi ya wasafii!!! Mara anahitaji promo!!! Tuache Kum overrated... Dogo bado sana... Mashabk wa Africa Mashark hajakamata sembuse Africa.. Kwel Nigeria ana mashabk???aslay ana kipaji zaidi ya diamond.yule dogo namshauri ruge amchukue . akienda wasafi kipaji chake kitazimwa maana hakuna anaemfikia pale.yule dogo ni brand yeye mwenyewe anaitaji promo tu ya kutosha wasafi sio hadhi yake.aslay ni zaidi ya wasafi