Nyumba za Yamoto: Sheria inahitajika, Fella adaiwa kuwa kikwazo cha Aslay kwenda Wasafi

Hakuna mdau wa mziki ambae simpendi kama Mkumbwa Fella...jamaa ni mwizi wa haki za wasanii.Anadhani Bongo Fleva ni yake.Juzi juzi hapa Beka Flavour alisema waliondoka Ya Moto wakiwa hawana kitu.Pesa yao yote eti ilitumika kujenga jamaa alkua anawapa tu "pocket money".Imagine hustle ya madogo af eti na nyumba zenyewe wamenyanganywa...duhh.Huyu mtu tumpeleke kwa Mange Kimambi
wewe humtakii mema huyu mzee, kwa Mange tena?
 
Hapo keshazulumiwa.
Asley asimame meenyewe anaweza. Au akasain international label rock star
 
ha ha ha dada mange akiununua huu ugomvi fella lazima ajiteteeee.. na nyumba azitoe jinsi atavyoandamwa na mashabiki wa mange

yule dada mange ni mshari kweli akivurugwaaaa

Hakuna mdau wa mziki ambae simpendi kama Mkumbwa Fella...jamaa ni mwizi wa haki za wasanii.Anadhani Bongo Fleva ni yake.Juzi juzi hapa Beka Flavour alisema waliondoka Ya Moto wakiwa hawana kitu.Pesa yao yote eti ilitumika kujenga jamaa alkua anawapa tu "pocket money".Imagine hustle ya madogo af eti na nyumba zenyewe wamenyanganywa...duhh.Huyu mtu tumpeleke kwa Mange Kimambi
 
aslay ana kipaji zaidi ya diamond.yule dogo namshauri ruge amchukue . akienda wasafi kipaji chake kitazimwa maana hakuna anaemfikia pale.yule dogo ni brand yeye mwenyewe anaitaji promo tu ya kutosha wasafi sio hadhi yake.aslay ni zaidi ya wasafi
Tatz sio kipaji. Tatzo nyota. Mondi ni habari nyingine wewe, btw sisapoti Aslay kwenda wasafi wala lebo yoyote apa bongo. Dogo akomae mwenyew tu soon Afrika itamuelewa kama Management yake itakuwa makini
 
Tatz sio kipaji. Tatzo nyota. Mondi ni habari nyingine wewe, btw sisapoti Aslay kwenda wasafi wala lebo yoyote apa bongo. Dogo akomae mwenyew tu soon Afrika itamuelewa kama Management yake itakuwa makini
Management yake mkubwa fella lazima badamu batamwagika wewe.!!
 
aslay ana kipaji zaidi ya diamond.yule dogo namshauri ruge amchukue . akienda wasafi kipaji chake kitazimwa maana hakuna anaemfikia pale.yule dogo ni brand yeye mwenyewe anaitaji promo tu ya kutosha wasafi sio hadhi yake.aslay ni zaidi ya wasafi
Aslay ni zaidi ya wasafi. Period
 
Nilivyomsikia Clouds kuwa alikuwa hana hela ya kulipa kwa producers Wa kubwa baada ya yamoto band kuvinjika, nilipata maswali mengi sana.


Naombeni mtafute interview ya aslay aliyofanya na Clouds siku anaenda kutambulisha wimbo wake mpya unaotamba sasa hivi
 
aslay ana kipaji zaidi ya diamond.yule dogo namshauri ruge amchukue . akienda wasafi kipaji chake kitazimwa maana hakuna anaemfikia pale.yule dogo ni brand yeye mwenyewe anaitaji promo tu ya kutosha wasafi sio hadhi yake.aslay ni zaidi ya wasafi
Aslay ni zaidi ya wasafii!!! Mara anahitaji promo!!! Tuache Kum overrated... Dogo bado sana... Mashabk wa Africa Mashark hajakamata sembuse Africa.. Kwel Nigeria ana mashabk???
 
Mange Kimambi anasemaje kwenye hili?!

Haiwezekani madogo wanadhulumiwa alafu ye akae kimya tu au kapewa hela Na Fella?!
 
Back
Top Bottom