Nyumba za wageni/guest house

Kashaija

JF-Expert Member
Aug 7, 2008
255
58
Jamani, wamiliki wa nyumba za wageni jaribuni kupunguza kidogo gharama za vyumba. Unajua inakera sana kuona umetoka kwenye nyumba fulani (chumba Tsh. 25,000) ukienda tena baada ya wiki moja unaambiwa 30,000 na kibaya zaidi akishaona umeongozana na demu wako.

Tuoneane huruma jamani, hali yenyewe ngumu!!!!
 
starehe garama bana...unataka uingie ndani humo mle raha weeeeeeeee! kitu full AC wakati umeme unapanda kila siku
 
Jamani, wamiliki wa nyumba za wageni jaribuni kupunguza kidogo gharama za vyumba. Unajua inakera sana kuona umetoka kwenye nyumba fulani (chumba Tsh. 25,000) ukienda tena baada ya wiki moja unaambiwa 30,000 na kibaya zaidi akishaona umeongozana na demu wako.

Tuoneane huruma jamani, hali yenyewe ngumu!!!!
Gharama ikizidi, acha uzinzi mkuu
 
nenda kwa elfu tatu mbona zipo tu au njia nzuri panga chumba kimoja self weka kila kitu halafu we utakuwa unajimuvuzisha tu huna hodi wala nini
 
Mbona hulalamiki demu akikuongezea mizinga?post na hayo basi

Ndg yangu, nashindwa kuongezea hilo. Maana hapo nimeongelea chumba tu, lakini kuna gharama kubwa ktk mambo haya.

mfano; lazima kwanza upate msosi wa kushiba ww na mwenzio kabla yamambo + Kinywaji (mademu wegi wanapenda vinywaji vywa bei ghali ambavyo ktk hali ya kawaida hajawahi kununua kwa hela yake). mwisho wa siku lazima akupige mzinga wa hela. Anasahau kwamba starehe mmepata wote. Inachosha!!!!
 
Acha uzinzi na umalaya hizo gharama hutaziona wala kuzisikia hata siku moja!!! Guest watafuta nini wewe?? Huna nyumba??? Huna Mke??? aakkk kwenda zako bwana.
 
Jamani, wamiliki wa nyumba za wageni jaribuni kupunguza kidogo gharama za vyumba. Unajua inakera sana kuona umetoka kwenye nyumba fulani (chumba Tsh. 25,000) ukienda tena baada ya wiki moja unaambiwa 30,000 na kibaya zaidi akishaona umeongozana na demu wako.

Tuoneane huruma jamani, hali yenyewe ngumu!!!!

Kwa nini unalala Guest za gharama kiasi hicho wakati kuna Guest za 3000/=
 
Acha uzinzi na umalaya hizo gharama hutaziona wala kuzisikia hata siku moja!!! Guest watafuta nini wewe?? Huna nyumba??? Huna Mke??? aakkk kwenda zako bwana.

Anaenda kupunguza stress mama, sio lazima apunguzie getoni kwake atapeleka wa ngapi?
 
Jamani, wamiliki wa nyumba za wageni jaribuni kupunguza kidogo gharama za vyumba. Unajua inakera sana kuona umetoka kwenye nyumba fulani (chumba Tsh. 25,000) ukienda tena baada ya wiki moja unaambiwa 30,000 na kibaya zaidi akishaona umeongozana na demu wako.

Tuoneane huruma jamani, hali yenyewe ngumu!!!!

Unatoka wapi Dar unaenda wapi Dar
unalipia 30,000 alafu unakaa masaa 2 dah maumivu i see
 
Anaenda kupunguza stress mama, sio lazima apunguzie getoni kwake atapeleka wa ngapi?

Stress?? Kwa masaa mawili?? Si afadhali akanywe zake valuer au viceroy zake kama mbili hivi then anasahau machungu mpaka kesho yake zikiisha?? Hapo machungu yanapungua wapi na roho inamuuma gharama iko juu?? Si ndo anaongeza???
 
kwani huko hamna uchochoro au viwanja vy mpira.mida y nyt unajimuvuzisha we na dia wako mnatandika kikanga mnaichakachua amri y sita.
 
Back
Top Bottom